Septuu Nassor wa Zanzibar ni mtoto wa Samia Suluhu huyu Waziri [?]
CCM ni watoto na familia za waliopo madarakani mwanzo mwisho
*Update
Sie huyo mwanawe, mwanawe Samia Suluhu ni Mbunge wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Wema alipoambiwa na DJ Fetty kuwa "Kupitia BB, Diamond amethibitisha kuwa ulienda kwao" uso ulimchupa. DJ Fetty akaamua kuipotezea tu....(chanzo: YouTube)
Na hao wenye Ukimwi wasije kupewa kikombe cha dawa wakadhani weshapoa wakaambukiza wenzao. Watu wawe na tahadhari. Linaweza kugeuka janga hili tukajuta
Wasi wasi wangu Mbu ni kuwa keshawahi hata kutamkiwa kuwa hapendwi, lakini akafumbia macho. Mpaka jamaa kaamua kutema kavu kavu.
Wanawake wakipenda wanafikiri na wao wanapendwa kama vile wanavyopenda, na hata wakipewa ukweli wataubadilisha tu.
Inawezekana akawa keshawahi kukwambia kwa njia nyengine wewe ukawa huamini.
Nazungumza kwa experience hapa, nishamwambia mtu kistaarabu kuwa kwangu naona ni mistake kuwa naye, lakini anatafuta kila sababu za kupinga hiyo kauli na kuzidi kujisogeza karibu na familia yangu.
Hebu jaribu kaa...
Dada pole sana kwa yaliyokukuta
Lakini amini Mungu mtu anaweza kuishi na mwengine miaka kadhaa bila ya kumpenda na akitaka kumwambia akakosa courage. Na siku akimwambia ndio anashindwa kuisema vizuri inatoka kavu kavu.
Na madhali alikuwa akijilazimisha kuishi na wewe japo hakupendi, alikuwa...
Pasco
Kama tunavyomkataza Mohamed kujumlisha watu wote kwenye chungu kimoja ndio tunapaswa kufanywa na sisi wachangiaji. Tutofautishe Waislam Wa Tanganyika na Zanzibar kwa mfano.
Zanzibar iliyokuwa na asilia karibu 100 ya Waislam hawakuwa na madrasa tu. Na walikuwa na wasomi Wa kutosha kabla...
It's hard to forget pain but it's even harder to remember sweetness.
We have no scar to show for happiness. We learn so little from peace.
The Diary by Chuck Palahniuk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.