na tatizo kubwa ni pale watu wanapojitahidi kukataa ukweli wakati ukweli upo dhahiri...bora kukubali ukweli kuliko kupaza sauti kuwa jambo fulani si kweli ilhali wako watu wenye ushahidi...wabongo bana
Nimeshashuhudia Halmashauri moja baada ya kushindwa kesi (ushahidi wa kutosha ulikuwa dhidi ya Halmashauri hiyo na hata angekuja nani Halmashauri ingepigwa chini tu), Madiwani hawakuwa tayari kuwashirikisha Mawakili wa Serikali kwa sababu wanazozijua wao...walipotaka kumtumia wakili wa...
i'm so glad to have lastly joined the forum..i've been following different discussions from you members since 2007 but i thought it's high time now i joined the forum...thanx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.