hamjambo wana jamii!?
napoifkiria miaka hamsini iliyopita tangu tupate uhuru mpaka leo hii naona ni jambo la ajabu kwelikweli kuwa katika level hii ya maendeleo tuliyonayo, kwa hiyo mara nyingine naamua kusema ni vema watu kukaa chini wakaanza kujiuliza kwa nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.