Nyumba ya kupanga inahitajika.
Iwe maeneo karibu na chuo cha UDOM,vyumba vya kulala kuanzia viwili,sebule,public toilet ya ndani na jiko.
Na iwe na imezungushiwa ukuta na kuwa na nafasi ndani yakuhifadhi Gari.
Pia umeme, Maji,usalama na majiran ziwepo.
Hongera
Pitia website ya British council itakupa mwongozo mzuri kuhusu huduma hiyo ya mitihani,test centres,mafunzo na gharama.
Pia waweza fika office zao Dar es Salaam... Google map itakuonesha zilipo kwa maelezo zaidi.
Mfupi mfupi ,Zakayo mfupi mfupi tu
Yeye alipata juu ya mti ili amwone Yesu,Yesu alipofika pale akatazama juu akasema!Zakayo shuka chini,nitakuja kwako Leo...
Natafuta Nyumba ya kupanga iwe ina room 2 au 3 za kulala,sebule,jiko na kuwa na nafasi nje ya car parking na iwe na uzio.
Ikiwa inajitegemea kwa bili ya umeme na maji itakuwa nzuri zaidi.
Iwe karibu na barabara kuu ya kuelekea morogoro.
Maeneo yawe kimara mwisho,mbezi(ya kimara).
Napata nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili,sebule,jiko na choo cha ndani kwa maeneo ya kuanzia kimara hadi Kibaha au maeneo ya mtoni kijichi .yawe karibu na Barabara,umeme,maji na iwe imezungushiwa ukuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.