Kila mtu anayohaki ya kuwa mwanasiasa: mwl, medical doc., prof., mkulima, nurse, dereva, lawyer, barmaid, housegirl,etc. siasa ni ushawishi wa kuwaunganisha watu pamoja ili kufanikisha jambo fulani lililokusudiwa. kiufupi siasa ni kuongoza! na isitoshe katiba tulionayo sasa inatamka kuwa: kila...
Kila chama kina Mwanzo wake hata Tanu ilipoanza haikuwa na kila nyanja kumekamilika ila kwa sababu walikuwa na itikadi na mwelekeo unaofanana bila unafiki na kusimamia kile walichoakiamini walifanya makubwa kuliko hata leo ambapo kuna wasomi wengi na tena wenye ujuzi.
kwa hivyo basi hata chadema...
Waulize wanaotaka kumfanya mtakatifu ni imani yao hainihusu mimi na wewe. na isizoeleke kuwa wakristo wote ni wakatolic. Nyerere wakimfanya kuwa mtakatifu haimaanishi ni mtakatifu kwa kila watu wa dini zingine.
Kila dini au dhehebu huwa lina jinsi lilivyochimbuka, ile misingi ya kuanzishwa kwake na jinsi lilivyopata kujieneza kutoka mahali fulani hadi mahali fulani. Na dini zote ambazo zimekuwa zikionekana kuwa ni bora na zinaweza kufanya chochote kile au kushawishi kwa jinsi yoyote ile huwa chimbuko...
Nashangaa kuona michango mingi hutolewa inapopostiwa issue ya udini kama hii isiyo na mashiko. wengine hutoa hata matusi wakidai eti wanaongea ishu za God. ni bora mkaacha na mwendeleze uchafu mliouzoea wa dunia hii.
wote mnaoshabikia ugaidi, uaskofurism, alqaeda, etc wote mnasubiri adhabu ya...
Hata kama wakitoa sadaka kiasi gani haimaanishi kuwa ndiyo wako sawa. Napenda pia kuwambia wana JF kuwa wengi hufunika maovu yao kwa kujifanya kuwa ukitoa sadaka ndiyo wametenda vyema kwa Mungu.
Watu wengi wamefunikwa wasijue unabii wa siku za mwisho, hizo akina mahakama za Kadhi na mengineyo yanayotokea Duniani wala siyo ya Mungu tunaedaikuwa tunamwabudu. Na katika Dunia hii mwanadamu hujitahidi kuweka usawa au haki lakini hawezi kuipata haki ambayo Mungu angetupatia yeye, kiufupi...
Habari zenu wanaJF, jana nilishtushwa baada ya kuona taarifa ya kuwa UVCCM eti na wao wanatoa tamko kuhusu sakata la Dowans. Cha ajabu zaidi ikawa si Dowans pekee bali hata Bodi ya mikopo ya wanafunzi elimu ya juu mara hata Maaskofu na Mashehe, wanashangaza zaidi kwa kusema hivi hata hivi "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.