Hana lolote.Njaa tu yeye na hao anaowaongoza.Bado kumtoa nyaa mkulu.
Wkt wa bunge la katiba alituonyesha ni mtu tofauti lkn picha yake halisi ni hii ya Sasa.
Ni kweli,wanawake msiwe na dharau hata kama una kipato kumzidi mwanaume.Leeni kwa ushirikiano hata a kama kuna tofauti kati yenu.
Ingawa siku hizi kuna akina single mothers in marriage wengi kuliko inavyodhaniwa.Mwanaume hajigusi.Unakuta mama anahangaika na biashara ndogo ndogo ,upatu,vikoba...
Nipo mkoa wenye baridi ingawa.Kutompaka kabisa mafuta ngozi itababuka.Ngoja nijipange kumwona daktari ingawa kwa wilayani huku kumpata daktari wa watoto ni changamoto kiasi.
Aisee na mimi nitanufaika na jibu la swali lako.Mimi pia mtoto wangu katokewa vipele kama hivyo tangu ana mwezi mmoja.Nimejaribu lubadilisha sabuni na mafuta(kutoka kodrai na mafuta ya nazi kwenda deto junior na olive oil) lakini bado vinaendelea.Ni usoni na nyuma ya kichwa.Lakini havimuwashi.
Hii ni product ya forever living au inapatikana kwenye maduka ya madawa?Nina mtoto wa miezi miwili na nusu,nataka nikianza kazi niwe nakamua maziwa ya kunywa nikiwa sipo.Na mimi sina maziwa mengi.Hii inaweza kunisaidia.
Nenda Mhimbili National Hospital-Muone.Dr Innocent Rwegasha.Ni mtaalam sana.Mara nyingi yupo ward ya mwaisela ila tafuta siku ya clinic yake amuone hapo.
Waachae wachague kazi.Siku hizi kuna ndoa za jinsia moja.Wasubiri waolewe na wanaume wenzao ndo wataosha vyombo na kudeki.Halafu vitu vingine,unafanya kwa upendo tu.Siyo kwa kuwa umeoa basi hata ma..ko uoshwe.Khaaa
Habari!
Naomba kusaidiwa/kufafanuliwa juu ya hili.
Mimi blood group yangu ni B positive na mume wangu ni O negative.Nimepata miscarriage mara 2.Je kuna uwezekano blood groups ikawa ni sababu ya kuharibika kwa mimba hizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.