Search results

  1. LE GAGNANT

    Kwanini nchi zilizotawaliwa na Wazungu ni masikini sana?

    Kwa sasa India ina uchumi mzuri kuzipita baadhi ya nchi za ulaya magharibi. Na sasa imeweza kurusha satellite anga za mbali.
  2. LE GAGNANT

    It' Official! Volkswagen is the world's largest car maker!

    Hapana. DAF ni kampuni ya Uholanzi. DAF Trucks NV is a Dutch truck manufacturing company and a division of Paccar. Its headquarters and main plant are in Eindhoven the Netherlands.
  3. LE GAGNANT

    Kanali Lubinga amrithi Migiro Ukatibu wa NEC CCM

    Kwani huyu kastaafu?
  4. LE GAGNANT

    Magufuli, unayajua ya Hazina na Msajili wake mpya?

    Du! Kumbe mkubwa wa nchi aliusoma na kuufanyia kazi huu uzi.
  5. LE GAGNANT

    Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

    AK 47 haziruhusiwi kumilikishwa mtu binafsi. Ni Wanajeshi, Polisi na Askari wengine wa Dola wanatumia. Mtu binafsi anaruhusiwa kumiliki bunduki kubwa jamii ya Rifle na Bastola.
  6. LE GAGNANT

    Ripota wa ITV Sam Mahela unaboa unaporipoti

    Mabere Makubi, Simon Kabendera, Audax Mutiganzi.
  7. LE GAGNANT

    Kwanini wanajeshi hawakatwi Kodi?

    Wanakatwa kodi kwenye mishahara yao. Ila posho ya chakula haikatwi.
  8. LE GAGNANT

    Kwanini Kinyesi cha wanyama hutumika kama Mbolea wakati binadamu ndio anayekula vizuri zaidi?

    Miaka ya nyuma gereza la Morogoro walikuwa wanastawisha mchicha mnono kwa kutumia kinyesi cha wafungwa. Tena ilikuwa karibu na barabara kuuu iendayo town centre.
  9. LE GAGNANT

    Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

    Daslam ikinyesha masaa mawili tu magari hayatembei.
  10. LE GAGNANT

    Mkuu wa Mkoa wa Tanga alazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili

    Kweli. Huo ndio mwelekeo.
  11. LE GAGNANT

    Kilichonikuta na mi Bombardier yenu sipandi tena!!!

    Ah! hiyo kweli ni Bomba-Dear!
  12. LE GAGNANT

    Rais Magufuli mbona kapunguza Spidi?

    Majipu yameisha au yamepona yenyewe.
  13. LE GAGNANT

    Maneno ya Inocent Mugy kuhusu simu bandia zilizozimwa

    Kama imeshindwa kuzima simu feki basi hata mtambo wenyewe ni feki.
Back
Top Bottom