Every human has weakness, and Mr magufuli his not an Angel but in comparison with others east African leaders, this man have done a lot for our country. Much respect to him.
Baba yangu mzaz ananiambia wakati anaajiriwa kwa Mara ya kwanza mwaka 1972 Ilikuwa analipwa sh 500 na mshahara wake wa kwanza wa mwezi ulimwezesha kununua fenicha zote za ndani na kubaki na akiba kidogo. Mimi kwa sasa nalipwa kwenye secta binafsi mshahara ambao ni zaidi ya million na siwez...
mh nasari usisahau kushonesha suti kwa ajili ya mjengoni na usisahau kwamba kama utatoa hoja ya maana ya kuwachoma magamba utapigwa na mwongozo wa spika.
mtu mmoja asiyejulikana ameungua vibaya na kuwa mweusi kama mkaa alipokuwa akijaribu kuiba mafuta ya transfoma tanesco na polisi tayari wameshafika. picha baadae.
nchini marekani hakuna uchaguz mdogo, kinachofanyika ni replacement kutoka kwenye chama kinachoshikilia ile nafasi, kwenye inshu ya rais akifa ama kujiuzuru, makamu rais anachukua madaraka mpaka uchaguz mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.