Nimegundua kuna Watanzania hawajapata nafasi ya kuiona ile movie ya Darwin Nightmare, ipo kwenye mtandao, ni full movie, inaujumbe mkali sana kwetu sote.
Link hii hapa ; YouTube - Darwins Alptraum / darwin's nightmare (full)
Hapo hata shetani anashangaa kwa uongo uliopitiliza namna hiyo, Mwalimu aliiacha nchi masikini???, haiingii akilini hata kidogo..Rasilimali (Madini, Misitu na sasa wanavuna baharini c.f kesi ya samaki wa magufuli) alizoziacha leo zipo?Viwanda hata cha urafiki leo kinafanya kazi gani?kiwango cha...
"Blaza" hapa nashauri tusihusishe jina la Mungu, ogopa, uzembe na upungufu wa imani ya mwanadamu ni kazi ya shetani na malaika wake.
Kama yeye kafeli mtihani huu unafikiri aliowapa madaraka watafaulu?
Ni mpaka kitokee kitu gani ndio bendera hupepea nusu mlingoti? Mengi yameshatokea kama Milipuko , ajali kwenye usafiri, moto na hata kinachoitwa vurugu za kisiasa (c:f Arusha, Mbeya na kwengineko kama Mara) ambazo kuna idadi kubwa ya watu wamepoteza maisha na wengine viungo vya mwili...
Kilichomuweka madarakani ni ili kuleta maendeleo ya Mtanzania sio kuzaa, kumbe ile program ya NYOTA YA KIJANI ni kwa ambao sio marijali?Tunataka kuona nchi inasonga mbele kimaendeleo sio kuona mambo tofauti ebooo!:frusty:
hehe, usijali kaka, itakuwa umeingia kwenye orodha ya wapigania haki za mtanzania, we tuwekee hapa hiyo kitu nadhani kila mmoja wetu anamunkali ya kujua ishu nzima ilivyokuwa, pengine hata ile idadi ya waliouawa tukajua ilichakachuliwa!:frusty:
Mara nyingi CV za wabongo zinapambwa kwa maneno makubwaaa, lakini jamani CV ni maandishi tu, ambayo humuelezea mtu, lakini hayaelezi ufanisi wake katika hayo anayojisifia hapo anayo.
Mfano, hiyo leadership skill ifanyekazi sasa, Kuna masuala mengi yuko kimya kama vile hasikii vilio vya...
Mara nyingi CV za wabongo zinapambwa kwa maneno makubwaaa, lakini jamani CV ni maandishi tu, ambayo humuelezea mtu, lakini hayaelezi ufanisi wake katika hayo anayojisifia hapo anayo.
Mfano, hiyo leadership skill ifanyekazi sasa, Kuna masuala mengi yuko kimya kama vile hasikii vilio vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.