hivi CCM na mikono yenu (ACT) mbona mnachanganyikiwa mapema.Ikifia sept,2015 itakuwaje....MARA act MARA zito.
..NAULIZA act ni mdudu gani kwa watz wanaojielewa.Rudisheni miaka nyuma angalau mngekuja na uzi huu mwaka 1990 watz tungewaelewa.
hivi CCM na mikono yenu (ACT) mbona mnachanganyikiwa mapema.Ikifia sept,2015 itakuwaje....MARA act MARA zito.
..NAULIZA act ni mdudu gani kwa watz wanaojielewa.Rudisheni miaka nyuma angalau mngekuja na uzi huu mwaka 1990 watz tungewaelewa.
- sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.
- sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi
- sijawahi kuona popote siasa inapofanywa...
- sijawahi ona kokote siasa inakofanywa mwanachama wa chama kimoja kwa wakati huohuo ni mwanzilishi wa chama kingine cha siasa, sijawahi.
- sijawahi kuona mtu anajiunga na chama fulani baada ya siku tano anapewa uongozi mkuu wa chama hicho, sijawahi
- sijawahi kuona popote siasa inapofanywa...
wasaliti huwa hawadumu
watakufa mapema
hawa watu wametolewa matongotongo na cdm leo " tutafanya maamuzi magumu"
maamuzi magumu anayeyafanya ni mungu ya kumwoondoa mtu ulimwenguni.
Siyo shida kuona vibaraka na walanguzi wasiyo na shukrani wakiondoka ndani ya chama makini kama chadema.ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.