Unaposema elimu kuunga unga na JK ukamuweka humo halafu wengine ukasema straight to University sijui ulimaanisha nini?! Maana Hata John hakwenda university direct. Alimaliza Diploma 1982 then akaenda kufundisha sekondari baadaye akajiendeleza na kupata Degree 1988 na baadaye masters na Phd
Kutenga Bajeti na kuitekeleza ni vitu tofauti, Kasome utekelezaji wake ni kweli kuwa kuna Ongezeko kubwa la bajeti ila ukienda kwenye performance hadi mwaka unakwisha bajeti imetekelezwa kwa 61% tu. Fuatilia ripoti za Kamati za Bunge utaelewa ninachokisema
Salaam wadau,
Kwa wale wadau wa mazoezi naomba kufahamu Kama kuna mtu anajua Gym (Fitness Center) iliyopo maeneo ya Kibamba Dsm, kwa yeyote mwenye kujua ilipo naomba msaada wa maelekezo jinsi ya kufika tafadhali.
Natanguliza shukrani
Inategemea na Taasisi unayofanya kazi, Mfano, Mshahara wa Mhasibu anayefanya kazi Halmashauri si sawa na yule anayefanya kazi TANAPA japo wote ni watumishi wa Umma na wana Degree
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.