Always yeye yupo right
Mkipanga kuonana akichelewa yeye kufika ni sawa ukichelewa wewe ananuna
Anakuudhi yeye na bado ananuna yeye
Anachokitaka ndio kifanyike/ usipofata ushauri wake ni kwamba una dharau
kukasirika katikati ya maongezi ya furaha ni jambo la kawaida ( utani afanye yeye sio...
Hapo nafkiri kuna kamtihani kidogo, kipindi me naitumia madukan hazikuwepo nakumbuka nilihangaika sana kupata cover mpya, plus screen protector ikawa ya kugushi, sijajua kwa sasa me yangu ilikujaga ibiwa kwenye dala2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.