Mt 11:25-26 SUV
Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga. Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele zako.
Yaaani Barca wamemuuza Dinho ili Messi asijeharibiwa, lakini unaona Dinho ni bora zaidi ya Messi!!! Kwa maelezo yako hapo, inaonyesha Barca walijua Messi is something else, ndio mana wakakubali kumuuza Dinho
Ni kweli kizazi cha Ronaldo de Lima na Zidane kilikuwa na wachezaji bora sana ukifananisha na kipindi hiki. lakini uwezo wa Messi na CR7 ni wa hali ya juu sana na naamini wangereta ushindani wa hali ya juu hata wangekuwepi kipindi cha wakina Ronaldo de Lima
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.