Search results

  1. Dyslexia

    Mdada aki-behave hivi huwa ina maana gani??

    ina maana hataki uyaone matiti yake.
  2. Dyslexia

    Mchele unapogeuka pumba................

    hakuna la ziada. message delivered as intended!
  3. Dyslexia

    Hongera wana JamiiForums

    AMEN,most welcome!
  4. Dyslexia

    Mtumia mafuta ya rays kukinga ukimwi

    wonders shall never end!
  5. Dyslexia

    Njia ya uzazi.

    jibu sahihi kwa mama kwe wafitini wasiokuwa na jema!
  6. Dyslexia

    Na wanaume hawapendi wanawake wa aina gani?

    bado kuna wanaume wanafikra za kitumwa!acheni umangi meza,shirikianeni na wake zenu!
  7. Dyslexia

    Nauliza tu.........Is it Possible??

    It is possible,since watu wanaoana kwa sababu nyingi,mwingine kwa kuwa kampa mtu mimba,wengine huruma etc,so kuna uwezekano wa kukutana na watu nje wanaoweza kuwa na true love na compatible kuliko wale waliowaoa au kuolewa nao.
  8. Dyslexia

    Amekutwa na ky jelly!

    matumizi yenu ya internet ni nini?search matumizi ya KY ujue,si kila kitu lazima umwambie swiitii wako,wengine wanajisikia vibaya,ishu hapa ni kutomwambia mpenzi!kama hana jingine nashauri warudiane!
  9. Dyslexia

    Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

    sikujua kuwa bado tuna jamii ya watu walio na hisia za kijinga hadi leo,ni urembo toka enzi za kina cleopatra na wengineo!
  10. Dyslexia

    Mapenzi na kandanda

    mueleze tu,siku ukija na mihasira anakuelewa tu,mradi huumi wala kupiga utavumiliwa kwa huo usiku!
  11. Dyslexia

    Sasa ni dhahiri Dr. Kikwete (heshima-UDOM) naye anatamani miaka mitano iishe haraka!

    akimfikiria Dr Slaa na Tundu Lissu,lazima azeeke! ningekuwa yeye ningejiuzulu tu nikalee maelfu ya watoto wangu!
  12. Dyslexia

    Kikwete kafanya mengi kipindi chake cha uongozi, tutamkumbuka...

    Tutakumbuka anavyopenda kutembea nje ya nchi,hata kukiwa na msiba nyumbani kwake!
  13. Dyslexia

    Kweli waTanzania wamechoka. Nchi imemwagiwa petroli. (MWANZA)

    na bado,Mungu akiwa upande wetu hakuna kitu kinachoshindikana watanzania,tusonge mbele kwa kujiamini na kuwaunga mkono wote wanaotuonyesha njia kama Dr Slaa na wengine!
  14. Dyslexia

    Nikiwa Rais wafuatao wakimbie nchi siku hiyo hiyo

    watu wanaotokwa na mapovu kwa hasira ni failures,hufai kuwa rais,unapaswa kuumia na kupanga mkakati si kutoa mapovu ya hasira,hayakupi urais hayo!
  15. Dyslexia

    Nchi imemshinda na Chama chake kimemshinda; aombe wawekezaji?

    ulishakuwa daktari wake au ulimwambukiza wewe ukimwi?:A S 13:just thinking loud!
  16. Dyslexia

    Aisha Gaddafi: Moto wa kuotea mbali !!

    ni mzuri na msomi,yatosha!
  17. Dyslexia

    If gaddafi was the president of tanzania

    I wish we could employ him to help this nation!
  18. Dyslexia

    Hii ni Kejeli au ndio ukweli wenyewe...?

    it can be both!
  19. Dyslexia

    Machifu toka Kenya wamfanyia zindiko Gadafi huko Libya

    wangemtunuku Ufalme wa Afrika na kumshauri kupumzika kwa heshima!
  20. Dyslexia

    KENYA YATUMA NDEGE TRIPOLI .... KUOKOA WAAFRIKA WOTE! Bongo Air Tanzania iko wapi?

    Ndege ya Rais ikawachukue,si kodi yetu au?:A S 13:
Back
Top Bottom