Anahudhuria kama mtu mhimu sana Africa Mashariki, Pia ni mshindi wa uchaguzi mkuu ulopita ndiyo maana majirani zetu wanamtambua Viva chama kipya cha kenya,
Usishangae ya Kenya hujawahi sikia chama kinaitwa CCJ kiliwahi kuanzishwa na wanachama nguli wa CCM.
Hii serikali yetu iwe serious kwa kila mauaji yanayo fanyika si haya tu Aliuliwa kamanda Mawazo mtanzania aliyeipenda nchi yake siku wahi kusikia hata salaamu za rambirambi toka nyumba nyeupe naomba tuache unafiki.
R. I P kamanda Mawazo
Yaani kwa mwanza hii siku itakuwa ni mafuriko mie nipo hapa mjini ila nimepokea order ya kupokea ndugu zangu wanne wanataka kuja kumuona tu Rais kabla ya kuapishwa na hawajaniomba hata nauli wenyewe wamesema tu wanakuja kulala kwangu tu baada ya mkutano then kesho yake wanarudi.
Ni msaliti kabisa huyu Shibuda wala tusidanganyane NI NANI ALIYE KUWA AKITOA VIJEMBE PALE BUNGENI NA KWENDA KUFUNDA WATU WA CCM, Hicho kikombe hawezi kikwepa Shibuda!
Nimesikia hata MNEC wa wilaya ya Magu kupitia CCM ni mtumishi wa serikali ni Engineer na ndiye manager wa TANROADS wa mkoa wa Mwanza maarufu kama Eng.Kadashi ndiyo maana hatuendelei.
Yupo na Yupo ON kwa ajiri ya wa Tz wenye maisha na hali duni leo yupo Kyerwa kwa ajiri ya kuwa kumbusha watoto wa maskini wenzie wajiandikishe ili waweze kujinasua kutoka kwenye hii mikono isiyo salama ya ma ccm. Ki ukweli hata mm naumia kumkosa Wenje Bungeni ila kazi alopewa na chama ya...
Tunaomba namba hasa mimi wa Mwanza ntavipata wapi nikanunue vya ukoo mzima kabisa hata na vya kukodisha, Ili tuchangie chama chetu makini kwa watoto wetu na wajukuu zetu. Go go go goooo CDM.
Hivi Magesa umeenda ACT mbaya wako ni CDM au ni nn kikubwa fanyeni siasa na hao ni wasaliti na wewe tangu ukiwa DIT hujawahi kuwa msaliti sasa haya maisha uloyachagua ni ngumu sana but huna budi kuyaoga maana ushaamua ila kwa taarifa za haraka nasikia vijana mnafata pesa huko wala hakuna kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.