Wasiwasi wangu hilo shazi lililikwa lilikuja na ndumbwa! Sio bure sherehe yote Huyo then utoke na kiduara!!!! Huko kwenye jamii yenu mlowahi kuvaa joho mpo wangapi! Jifunze binti yangu kuwa mambo mazuri hayatangazwi!!! Tafuta mume sasa ma mdogo , mkole tayari huo
Kumbe ni mfalme Hassan wa Morocco!!!! Mimi nmzungumzia Mfalme Mohamed VI wa Morocco aliyekuja juzi MGENI wetu kwa wiki mzima! Hebu nijosgeze angalau aniachie makomb ya vitanda na mazuria! Yatusaidie sisi wahangwa wa kanaz- mureba kagera
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.