Super thinker, ingia kwenye website yao na uchague gari unayoitaka then jaza ile inqury na uisubmit. Watakujibu baada ya muda mfupi na kuanzia hapo mtaanza kunegotiate nao mpaka hapo mtakapo kubaliana CIF value, mkikubaliana watakutumia proforma invoice nawe utawatumia pesa kwa TT na mtaendelea...
Nimekupata vizuri sana ssambali, labda ungeniambia hiyo ndogo iwe angalau na vipimo gani na sehemu gani unazopendelea ili nikipata inayofanana ndo nikujulishe, vilevile hata mm si lazima iwe kubwa sana lakini hata size ya kati (10ft. x 8ft.) inaweza kunifaa pia.
Cha msingi ni kwamba angalau wewe...
Nashukuru parachichi, next week nitakuwa Dar nitafika maeneo hayo japo vya uchochoroni inawezekana visinifae sana maana si unajua biashara ya vipodozi inafaa sehemu yenye mkusanyiko wa watu, anyway nitafika nionane na hao jamaa.
Nimeshafanya biashara nao hawa jamaa hawana tatizo, si mm tu lakini pia hapa sehemu ninayofanyia kazi kuna watu kibao wamenunua kampuni hiyo na sijasikia hata mmoja aliyelalamika. Gari inachukua 3 to 4 weeks kufika Bongo kama watatumia meli ya direct bila kuanzia africa ya kusini.
Dah jamani hata kwenye ujasiliamali kuna ufisadi na ukabila pia, anyway naomba nisiamini katika ukabila cha msingi ninaimani humu kuna wadau wengi wanaoweza kunisaidia kwa ushauri, hata hivyo si lazima iwe Mwenge bali hata sehemu nyingine ilimradi iwe na sifa za kuweka duka la vipodozi!
Ni kweli natambua kwamba nahitaji kuongea na madalali lakini hapa pia kuna wadau wengi wakiwemo madalali pia wanaoweza kunipa angalau mwongozo wa kufuata, ushauri dhidi ya changamoto za biashara yenyewe pia ni muhimu na unapatikana kwenu wadau!
Nashukuru na nazidi kusubiri msaada wenu.
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau.
Naombeni msaada wenu wa namna ya kupata flemu kwenye maeneo hayo niliyotaja au hata sehemu nyingine ilimradi iwe na mkusanyiko wa...
Ndugu wana - JF nina mpango wa kufungua kijiduka cha VIPODOZI maeneo ya MWENGE, SINZA au sehemu nyingine inayofaa kwa biashara hiyo kulingana na ushauri wenu wadau.
Naombeni msaada wenu wa namna ya kupata flemu kwenye maeneo hayo niliyotaja au hata sehemu nyingine ilimradi iwe na mkusanyiko wa...
Hapo kwenye red pamepimwa na pako umbali gani kutoka barabarani, je huduma muhimu (maji, umeme barabra) zipo? Kama una kingine chenye sifa kama hizo itafaa pia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.