Ni vizuri urudi hosp. na utoe hayo maelezo
Usipopata ufumbuzi nenda ngazi ya juu zaidi
Bcoz this is the second time is better to see a Dr.(Si kila anaefanya kazi hosp ni Dr.)
Vipi kwa sasa yuko single au vipi?
Hili halikuwekwa wazi.
Kadri mwanamke anavyoongeza shule ndivyo anavyo punguza wanaume
Tofauti na wanaume, kwani unavyozidi kusoma unaongeza wigo.
Naomba any kind of contact; simu/mail adr/..:mimba:
Tuna tatizo kubwa la viongozi katika nchi hii, hawa tunao wa chagua kuwa wawakilishi wetu bungeni sidhani kama kweli wanatuwakilisha. Kwani yapo matatizo ambayo yako wazi kwa kila mtu lakini wawakilishi wetu wamekaa kimya ama kwa kutojisumbua kufikiria au uwezo wao wakufikiria umefikia hapo...
Mtoa hoja ameegemea upande mmoja, upande wa kulaumu na inaonekana ni mbaguzi. Hatakama hawakua na vibali, aihalalishi kuvunja sheria. Hatua ya mwisho ya kudai haki ni kwa MAANDAMANO na si kufanya vurugu na kuwa rudisha wenzanko ktk umasikini. Na kama ni swala la vibali na biashara zingine ambazo...
Siasa bwana,
Dr. Slaa na Mch Mtikila walijua dogo hajisumbui kufikiri, walijia atakurupuka tu, kama ilivyo kwa serikali ya mdingi.
Kwa sasa asipotinga mahakamani ni thibitisho ya kwamba ni fisadi.
Turudi nyuma kidogo, hivi babake HAKUMPA USHAURI!!!!!!
Kama kuna mtu anatishia kukihama chama kwa kukosa uongozi basi huyo hafai kabisa na hatakuwa haji ni kwanini yuko chadema.
Kwanini ulazimishe watu kwamba wakuchague, swali ni kuwanga sera na historia yako ya utendaji.
Ila kwenye siasa kuna mengi, si kila lisemwalo ni la kweli. :israel:
Mtoa hoja hakuwa na mtazamo wa udini ila mchangiaji mmoja tu na amekemewa vilivyo nadhani ni kibaraka wa CCM
Hapa tunajadili CV na c dini
Hakuna mtu anayeweza kuwagawa watanzania kwa kigezo cha UDINI :A S 465:
Sinahakika kama wausika wanapata nafasi ya kutembelea JF!
Turudi kwenye topic
Kuna umuhimu mkubwa wa spika kuwa na taaluma ya sheria na si sheria tu bali hata PS-PA, kwani pamoja na kwamba bunge linatunga sheria lakini spika ni kiongozi/mtawala ndani ya bunge. Kwa Makinda hana hata sifa...
Kosa ni kosa hatakama ilifanyika miaka mia moja iliyopita, ndo maana tunataka hatua zichukuliwe dhidi ya mafisadi
Kuna watoto wa wakulima wengi sana waliokosa nafasi za sekondari kwa majina yao kuuzwa kwa watu wenye mapesa.
Hatua za kisheria zichukuliwe kama ni kosa.
Wakati umefika wa mabadiliko
Je, wewe umechangia nini kuleta mabadiliko?
Angalau sisi tunaouwezo wa kupata mawasiliano ya mtandao,
Kulingana na tafiti zilizofanyika mwaka jana kipindi cha uchaguzi, njia kuu ya habari/taarifa kuwafikia wananchi ni kwa njia ya radio (By Dr. Kitila Mkumbo). CDM...
Kwa maoni yangu
Ni bora Shitambala alivyoondoka kwani alitukosesha ubunge katika uchaguzi mdogo kwa makusudi mazima
and katika uchaguzi mkuu akafanya da same kwa kuongwa na ccm.
Nadhani ni kibaraka wa ccm.
Mpaka kufikia 2015 watanzania waliofeli kidato cha nne( shule za kata) watakua mamilioni na watu ambao hawana kazi watakua mamilioni
Hawa ndo wataihukumu CCM. Watu walio katatamaa, wenye njaa ndo watakao linda kura za Chadema. Kuna hoja ambazo ukitoa mbele za watu wanakushangaa, watunga sera wa...
Kama tunapenda maendeleo ya demokrasia katika nchi yetu basi ni vizuri tupongeze pale ambapo chama cha siasa kinafanya vizuri na pale wanapokosea tunawakosoe. Nilisikitika sana, ingawa sikuwa na la kufanya. Education is civilazation, vipi tuongozwe na uncivilized person. Sijui chadema...
Africa ni moja,matatizo yetu yanafanana,mfano kilichowafanya vijana wa Tunisia na Misri kuingia mitaani is the same as to what we are facing in our country; ufisadi, ukosefu wa ajira, bei ya bidhaa muhimu kupanda kila siku, hakuna haki, wananchi wananyanyaswa ndani ya nchi yao na serikali yao...
Sidhani kama hilo ni suluisho kwani CCM nao wanawe kuongeza nguvu
Haya yote jawabu ni katiba mpya
kwani ya sasa kwa asilimia kubwa imekakaa kwenya mfumo wa chama kimoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.