Search results

  1. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    am out of here, here is my address kilimoboratz@gmail.com www.kilimoboratz.blogspot.com
  2. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    kina kinategemea na urefu wa mche wenyewe, ni vizuri nusu au robo tatu ya urefu wa mche uwe umefukiwa
  3. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    kina kinategemea na urefu wa mche wenyewe, ni vizuri nusu au robo tatu ya urefu wa mche uwe umefukiwa
  4. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    wanauza Kariakoo Sokoni
  5. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Nimeipanda na pia naotesha mingine nikaipande, naotesha Mitiki na Arborea (Mfudufudu)
  6. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Usijze sana ikashindwa kupata nafasI ya kukua vizuri. Ipe nafasi nzuri
  7. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Futi tano (5) mpaka sita (6) zinatosha. Miti inahitaji nafasi ili ikuwe vizuri.
  8. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Unaweza panda Mitiki, Mfudufudu - Arbora, Mkesia, Mkorimba, Mkaratusi. Kifupi aina nyingi za miti hustawi maeneo hayo
  9. Macky

    Nimefarijika sana na site hii, naomba ushauri wa mazao ya muda mfupi Fukayosi!

    Kwa maelezo zaidi unaweza pitia Tujifunze Kilimo Bora kwa Maendeleo Yetu: Kilimo Bora cha Mboga Mboga- Kanuni za Ukuzaji Mboga Tujifunze Kilimo Bora kwa Maendeleo Yetu: Maelezo ya Msingi Kuhusu Kilimo cha Mboga Mboga - Vegetables Tujifunze Kilimo Bora kwa Maendeleo Yetu: Kilimo Bora cha...
  10. Macky

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Utangulizi Utunzaji wa nguruwe mara nyingi hutegemea aina ya nguruwe, njia na aina ya ufugaji. Kwa mfano nguruwe jike anayefugwa kwa ajili ya kuzaa anahitaji kutunzwa tofauti na wale wanaonenepeshwa kwa ajili ya nyama. Kadhalika nguruwe wanaweza kufugwa ndani ya banda au nje, kutegemea na ukubwa...
  11. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Shamba la miti lina matumizi mengi na si wote watasubiri wavune, kuna watakao yauza, watakao yatumia kama bond za kuchukulia mikopo ktk taasisi za fedha n.k Kwa mujibu wa Wakala wa Mbegu za Miti Tanzania mitiki huvunwa kuanzia miaka 7 - 40,
  12. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    ≈ Asante kwa mchango wako ila siku hizi Mbegu za mitiki zimeboreshwa na miti huweza kuvunwa kuanzia miaka saba (7) na kuendelea, hii ni kwa mujibu wa Wakala wa Mbegu za Miti Tanzania (Tanzania Tree Seed Agency - TTSA)
  13. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Inastawi bila tatizo. Aina zingine ni mkangazi, mkesia, mfudufudu nk
  14. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Kinachomata ni matumizi na ukubwa wa mti Unachatakiwa kufanya ni kuangalia mti husika unaweza kutoa mbao ngapi km ni mti wa mbao na ukadirie bei yake. Kuna miti huweza kuzidi hata laki 2 au 3 Kuna sehemu watu wananunua hadi miembe kwa zaid ya laki nne kwa muembe mmoja Size Matters
  15. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Mitiki (Miaka 7 - 40) Mfudufudu - Arborea (Miaka 4 - 15) Mkesia (Miaka 4 - 25) Mkoga () Mvinje (Miaka 4 - 25) Zipo aina nyingi tu Kwa wilaya ya Mkuranga binafsi nimepanda Mitiki na Mfudufudu (Arborea)
  16. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Kulipa kwa mti kunategemea na matumizi na umri wake. Kwa ujumla mashamba ya miti yanalipa hata km ni mwarobaini. Pia upandaji wa miti unategemea na sehemu uliyopo na sio ulipaji wake.
  17. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Zaidi ya 50,000, bei inapanda kulingana na umri wa mti na ukubwa wake pia. nitakuletea figure kamili muda si mrefu
  18. Macky

    Msaada Ufugaji wa Kanga na Kasuku

    Inaruhusiwa na wala si nyala za serikali
  19. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Tujifunze Kilimo Bora kwa Maendeleo Yetu: Namna ya Kuandaa Kitalu cha Miche
  20. Macky

    Kilimo cha Mitiki: Utaalamu na biashara yenyewe

    Ekari moja ya shamba unaweza kupanda miti mia sita (600) mpaka mia saba (700). Gharama za kununua mashamba au maeneo ya kupandia miti hutegemea na eneo. Kwa sehemu nyingi za vijijini maeneo kwa ekari moja hayazidi laki 5. Miche ya kununua mfano Mitiki huuzwa kuanzia elfu moja (1000) kwa mche...
Back
Top Bottom