Mtazamo wangu.
M naona shilling kushuka thaman inachangiwa kwa asilimia kubwa na matumizi ya pesa za kigeni. Yan mtu kafungua biashara yake anaona shilling haina thaman anaamua kutumia dollar kama exchange rate. Huko visiwan kwan mmeambiwa mkisema gharama n 20mil per day hamtapata wateja...
Brother cdhan kama utapenda trump aupate huo urais labda kama hujasikiliza hotuba zake vizuri na policy zake pia. Cjui kama unaelewa what's behind "make america great again" if you knew najua you wouldn't wish for that
Who knows the truth, makamba kakiri na dadaake kakiri, kama kweli iyo email nliyoiona kaandika mwamvita inabidi sheria ifuate mkondo ilo jipu jingine aisee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.