IAS 18
Revenue
is the gross inflow of economic benefits during the period arising in the course of the ordinary activities of an entity when those inflows result in increases in equity, other than increases relating to contributions from equity participants.
Revenue shall be measured at the...
Wana bodi..
Kwa siku ya Jumatatu(31/10/2016) mkoa wa Iringa nilishuhudia gari mbili za BOT aina ya Mercedes Benz rangi ya kijivu zikiwa na escort 2 za Toyota Cruiser zinaingia mkoani Iringa.
Ikasemekana zimebeba hela kuleta hapa.
Kwani kwa siku za weekend watu wengi kwenye ATM walikosa hela au...
Mkuu cwezi kukubaliana na wewe kwani utakuwa umechoka nini kama ni akili basi ndo sehemu ya kujiliwaza, kiuno hapo ndo pakunyosha!
Sasa unachoka wapi kwa hizo kazi?
Mr. Rocky umegusa kwenye swala ambalo lilinisumbua mwanzo wa mahusiano yangu, nilikuwa namtreat hash my G bt wkt wamaongezi nilijikuta nakuwa naongea myself yy kimya anakuwa ansikiliza 2.
Ss cku nikaja na gear mpya ya polite language aiseee nilienjoy maongezi kwan mama alifunguka mbaya!
Thn...
mbona km umekubali mabadiliko thn una uliza tena!
Maana ya upendo ni nn?
pindi mnapokuwa p1 tabia huwa zinatofautia ili kuweka usawa kwa pande zote haina budi kuchange 2 sm level na sio kuwarigid, mabadiliko ni muhimu.
Ilikuwa bahati mbaya nikiwa natafuta E.A. Radio jana nikamsikia kayanda anatetea ile picha ya J>K, kuwa 50 ndo amemfuata wakapiga picha! ikanibidi nizime kabisa. HEBU MSIKILIZENI KIBWANA DACHI 8:00AM MAGIC FM ni raha kweli.
nafikiri ni uaminifu alionyesha kwako mpaka anachukua maamuzi hayo, sio kitu cha kushanga na kuona hawapendi nafikiri siku ya kwanza alikugomea kati ya mmoja wapo.
Kwa mimi sikuweza kuamini hata kidogo kwa maswali kadhaa niliyojiuliza:
muda meli imezama ni usiku picha imepigwa kumeshakucha!
Masalia ya mizigo haionekana!
Meli ya zanzibar ilizama kwa kubinuka kinyume kwanza sasa hii imelala kiubavu!
Nilisikitika sana kwa kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.