Aisee mimi sina updates naomba kesho ukiibuka hapo PPF tujuze kama bado waulize huo waraka upo wapi na wametangaza wapi onana na manager wa kanda na siyo vidagaa hivyo reception komaa nao hadi wakupe jibu
UPDATES;
Nimepita nssf kucheki balance zangu nikaona mambo poa tu watu wanaclaim pesa zao saafi nimeamua kuendelea na nssf badala ya PPF maana wanakalia pesa zetu pasipo sheria ya kutolipa....
Pole na wewe yamekukuta haya tuungane wote tutafute majibu ebu wacheki SSRA kwanza tuone mimi nimepost kwenye webu yao kuwauliza baana kuona sion contact zao.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.