Hivi karibuni tumesikia juu ya vifo vya wananchi Mgodi wa Nyamongo.wawekezaji wanasababisha watanzania kuwa kama watumwa kwenye nchi yao.Serikali yetu itabadilika lini ili wananchi waweze kufaidi maziwa na asali vilivyomo ndani ya nchi yao pasipo dhuruma? mwisho wa siku tutakuwa na blood...
Naiona Tanzania mpya inakuja,....yenye viongozi wanojali maslahi ya taifa na wananchi kwa ujumla.viongozi wasiozibwa midomo panapokuwa na jambo nyeti la kulitetea.
MAWAZIRI Mwakyembe na Sitta ni mifano BORA na yakuigwa Tanzania,naamini wapo wengine watongezeka nyuma yao.nani asiyejua kuwa Dowans...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.