Jaman Wazir aliyejiuzuru Mzee Edward Lowassa kumbe ni kweli yuko kwa Phophet Joshua leo akiabudu , tena amepata seat ya mbele kabisa. Hapa ninapoandika naangalia ibada live emmanuel tv. Ntawajuza mtume akianza maombi kama atamtabiria .. Ntawajuza zaid.
Baambie baelewe papa, mutu ukiwa na Imani thabiti hautatetereka. Dawa ni moja tu kumrudia Mungu kumwamini na kutii amri zake 'kwa imani yote yanawezekana'. Mwenye sikio na asikie
Wana JF Natumai mko shwari, ni ivi jaman! Kuna dada hapa anahitaj msaada wa mawazo, ni ivi:- huyu mdada ameolewa 2yrs ago, toka aolewe wazaz wa mume wakawa wakiulizia mbona hapat mimba? yan wakawa wanawapa presha sana wana ndoa hawa, Mungu si coletha mdada akapata mimba na kujifungua this...
Ni upungufu wa heshima tu, huwez mwanamke upo home tuu bado nguo za mumeo ,bafu ama chumba chako anasafisha housegirl. Wanawake tupende majukumu yetu la sivyo tutakuwa wa kuzungumzwa vibaya kila siku humu na kulea wake wenzetu ndani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.