Kwa hiyo wewe Kinana na Nape wakifikiri wewe huna haja ya kufikiri?
Jibu hoja kwa hoja na sio kurusha matusi. Wewe ungekuwa na akili ungetumia ubongo wako kufikiri na sio wa Nape.
Mimi sijaona baya alilosema hapo na hata huyo Nape na Kinana sidhani kama wanatoka nje ya haya. Kusema wasikilizwe...
Aliyekosa kazi ni yule kilaza aliyeleta ulafi wa kulazimisha kula msibani as if nyumbani kwake hamna msosi. Kama asingeeenda kumshitaki mchungaji kachinja ng'ombe, yasingetolewa matamko
Mchelea mwana kulia, hulia mwenyewe.
Hawa watu waliendekezwa sana sasa ikafikia sehemu wameona ni haki yao na kwamba wao wana haki saaana kuliko watu wengine.
Kitendo cha kumfunga Mchungaji eti kachinja ng'ombe ndio ujinga uliotufikisha hapa. Kulikuwa na hoja gani ya msingi? Kama mtu hujala...
Who cares? Kwani Lutheran na Katoliki ndio peke yao wana haki ya kufungua hayo mashtaka? Umeshasema Marekani na Uingereza, mbona huko Middle East kuna kiongozi wenu alioa mtoto, je naye awe kigezo cha utamaduni wenu? Tumia akili mbulula wewe.
Kwanza ni ulafi wa kupenda kula ndio umetufikisha...
Ukimkuta mkeo anajiuza kwenye danguro, utauliza uhalali wa ndoa yako na mkeo au wa machangudoa wengine? Utathubutu kuwaambia wale wengine wamekosea ikiwa huna hakika kama kuna wanayemkosea?
Wewe una vichwa vingapi mkuu?
We utakuwa Mnyamwezi tu sio bure. Soma mada vizuri acha kukurupuka kama mama muuza pombe. Amesema hata yeye ni kosa konda kutotoa tiketi ila si sababu ya kudhulumu wengine pasipo haki. Sasa wewe umechoropoka ulikokuwa unajadili ngono umeingia kwa kutanguliza makalio kwani ndio yenye akili...
Hili jukwaa watu wamezoea kuongea ngono na ufuska wao kiasi wanadhani ni dhambi mtu kukumbushwa anayopaswa kufanya kwa mujibu wa dini yake. Sasa kwa nini wanapiga kelele na si kuongezea hayo makaripio ya dini zao? Ingekuwa mada za kuingiliana kimwili ungeona jinsi wangefurahi mkuu
Kama yupo...
Wewe ni Mkatoliki? Wewe huyu huyu uliyetoka kuikandia Injili? Ungeniambia we ni kiruka njia ningekuelewa lkn sio Mkatoliki labda haya madhehebu mengine ya vichochoroni.
Mkatoliki hawezi kuicha Biblia yake kwa kuwa mtu mmoja kaandika juu ya Biblia neno Novel. Acha unafiki wa kujiita Mkatoliki...
Mwita Maranya, yoote niliyoyaweka hapo hukuyaona bali uliona kipande hiki tu cha kukupatia ushindi wa UBISHI. Sikumaanisha kuwa ni gesi ndio hugeuzwa kuwa cement, mimi si mtaalamu wa cement na wala sijatumwa na mtu kama unavyosema lkn sipendi unafiki kama uliotumia kuruka mada zoote na kuja hapa...
Hizo bold ni kosa la mamaako kukuacha ulelewe mtaani.
Kwa akili yako unaona World Cup ni mashindano dume kwa kuwa hukuona World Cup in those days.
World Cup itabebwa kwa juhudi ya timu sio Messi. Huyo Pele hakuenda peke yake kucheza, alicheza na kina Garincha. Wewe utaumwa sana. Fuata hii link...
Kaka tafadhali weka kwanza kusudi la kunielewa, vinginevyo hata nikiongea mwaka mzima kama umedhamiria tu kubishana hakuna tunachoweza kuongea.
Kiwanda cha Mbolea kilichoahidiwa, malighafi ni ya kutengenezea mbolea ni mabaki ya uchafu unaotokana na shughuli ya gesi. Kama gesi haijachimbwa bado...
Tatizo linajirudia, unasoma ili ubishe badala usome ili unielewe niliandika maandishi yooote haya. Ndugu yangu Chungurumbira, acha ushabiki wa kijinga. Kama maji kiwanda kiko Ruvu, je bomba linaloenda nyumbani kwako linatokea Ruvu moja kwa moja au kuna Bomba kubwa limekuja hadi mjini na...
Hakuna maneno ya kuyabadili hayo yalioandikwa, ni mambumbumbu tu. Umbumbumbu ni sifa yao na si kwamba wanasingiziwa. Kama hoja zao ndio hizo tuwaite jina gani?
Hapa wanaleta unafiki wa kusema fulani anatukana viongozi wakati kila kukicha matusi kwa Nyerere.
Kinachonishangaza nyinyi wenye mawazo haya ndio mnaothubutu kumuita Waziri kilaza aliyeishia darasa la saba. Sasa angalia ni nini umeandika:
Si ndio haya Waziri anayaeleza saa zote kuwa yatafanyika huko? Watanzania hebu tuache ushabiki wa kijinga na angalau mara moja kwa mwaka tuwe serious na...
Tusipende kuwa Wakomunisti wa maneno wakuu, alichosema Waziri ni sahihi. Nchi hii haina utaratibu wa ukanda au majindo, kwa hiyo kauli ya Waziri ni kuwakumbusha wakaazi wa Mtwara kuwa, kuna tofauti ya Korosho uliyolima na Gesi ambayo ni MALI YA ASILI.
Kuwa darasa la 7 haimaanishi kuwa huna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.