Hivi elimu yetu haitusaidii eeeh...hivi ukikaa kimya na kufanya majikumu yako inakuwaje..kwann mnawashwa na kuichokoza serekali...watandikwe hao bara'bara
Daaaa nimecheka sana...
Fanya mazoezi ya viungo...afu pinguza michepuko...kunywa bavaria 8.6%...hapo lazima atauliza nn umekula leo...kingine mkuu muandae kwanza
Daaa mayor jaribu kuwa na haiba flani ya kutoropoka...kaa utulie piga kazi malumbano yasiyo na tija tupa kule..cpendi mtu anaelalama bila kuwa na 7bu za msingi...umekuja juzi tu nawe unatafuta kick...fanya kama makonda watu wana appreciate uwepo wake...sasa ww kama utajifanya unajua sana kuliko...
Wanaotaka kulima zao lolote lile wanione..nipo kibaigwa naweza kumpa akili ya kutoka...awe na moyo na apende kilimo...tikiti..kitunguu nyanya hoho...mana ktk ekari mbili watu hupata hadi million 20 na zaid kwa muda wa miez 4 ~6...0759313890... pia nikiwa kama mtaalam wa mifugo ntkupa njia za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.