Watu mnavyohusudu mambo ya udini kwa kisingizio cha kumshangaa yule Muha MAKAFISHIANO YA DINI YANAWALIPA KIASI?
Hata uwape hoja nzur hawa vichwa vilivyojaa udin vitakujibu kifup tu (atakayeilaan israel naye amelaaniwa) ndo wamemaliza hvyo wakat wewe unazungumzia masihara ya taifa.
Habari nina nokia hapa 1248 maarufu kama obama haikubali kuwaka wakuu point on/off p- inasoma 577 na p+ inasoma 596 msaada kimawazo na nina huawei y330-u11 inawaka na kujizima yenyewe.
Mara mapadri mara wachungaji mara masheikh mara wajomba mara mababu mara walimu mara baba wa kufikia yaani tuombe Mungu Maana Haya makinda yetu hayapo salama.
Hapo Ishu Kubwa Ugonjwa Tu Kwan Mtoto Mnashea Kumtafutia Mahitaj? ila pole sana mana siku hz wadada mioyo yenu ina ukakas usio na mizan kusikia tu mwanamke mwenzio kahenyeka na mimba yake kajifungua katulia tuli nalo tatizo sijui akija kumbwagia mumeo mtoto itakuwaje.
Tabia ya wanasiasa kung'ang'ania maiti au kutafuta maneno maneno pale marehemu anapokuwa hajazikwa badala ya kumuombea kheri sijui itaishia lini. Hata kama wao wapinzan wenu wamefanya tofauti na utaratibu wenu kuna ubaya gani kuwafuata na kuwaonya au kufanya mashauriano? Kusemea katika media...
Baada ya kukoka kuni yanabaki majivu.
Miaka yote nalima shamba na wazee wangu nawaona wanaweka majivu kwisha habari.
Hata hivyo naamini wale wakulima wakubwa wanajua dawa yake.
Hii ni uzoefu wangu wa kienyeji.
KARIBU MBEYA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.