No.. mitume ni ishirini na tano na muhammad ndio wa mwisho...ila manabii ndio wengi...na katika mitume hao ishirini na tano wapo pia wenye sifa ya unabii na utume kwa wakati mmoja.
Mh kwani hiyo bima ni dhamana?..na je dhamana unatoa wewe mkopaji au benki?..kama unatoa wewe mbona bima imejumlishwa kwenye mkopo means hutoi wewe direct mfukoni mwako kama ilivyo hati ya nyumba....so kiutaratibu hairudishwi ila iliwekwa kumlinda mkopaji incase umetangulia mbele ya haki au...
Ni kweli kabisa wanaboa sanaaaa...then kuna ubaguzi mkubwa sanaa hususani kwa tuliokuwa pembeni mwa nchi...jamanii wamwambie mkurugenzi wao na sisi huku tunahitaji huduma hiyo kama sehemu zingine...mbona idara ya maji wako vizuri sanaaa hata kama vifaa vimekwisha haichukui muda mrefu vinaagizwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.