Wamepata nyumba za tembe[udongo], wamepata barabara za udongo, watoto wanasoma shule za kata bure, watoto wamefutiwa NHIF .
Takwimu ya 2020 ilionyesha ya kwamba chini ya nusu ya wakazi walikuwa na maji safi. Sehemu kubwa ni kutoka visima na wakati wa ukame maji huwa haba. Kuna hatari kubwa ya...
“Wananchi wa Nzega Vijijini walishatoa msimamo Mh. Rais alipotembelea pale kwamba hawana la kuomba zaidi ya kumshukuru Rais “
Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamis Kigwangalla amewataka Watanzania wote popote walipo kutumia hashtag ya ‘Nasimama na Mama’...
Makonda ndiye alikataa kupangiwa Ziara, alitaka kuambatana na mabosi zake na ripoti ya ziara badala ya kumpa katibu mkuu alikuwa anataka kuwasilisha kwa Mama kwa kigezo yeye ni mtoto wa Mama.
Alikuwa anjijenga yeye binafsi badala ya chama, hata huko Arusha ni one man show akitaka kuonekana...
DODOMA: Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amefanya Ukaguzi wa Mashirika ya Umma kwa mwaka wa fedha 2022-23 na kuorodhesha mashirika 99 ambayo yanadaiwa zaidi ya Sh trilioni 3.49.
Je, kama Mtu ni mkurugenzi kwenye hili shirika, amekaa hapo miaka 10 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.