Nawakilisha Kweli tumechoshwa na Ushenzi wa hawa jamaa. Juzi Vijana wa CCM Waliandamana mpaka makaomakuu Polisi Arusha kudai Mtuhumiwa wao asiwekwe Rumande na hakuna hata mtu alie wabebea kirungu. Sisi kumsindikiza mbinge wetu wana piga mabomu na kumharasi. Wana Arusha tushikamane na lazma hawa...
Kwa hilo basi Hii nchi watu waona ingia madarakani kiubest na kifedha. Maana mbona wote kama ni Mbumbumbu tu. hawana msaada wowote. Wanatudanganya na lugha mbovu za Kiinteligensia ''Utapeli" kumbe wamekusudia kumwaga damu. Yaelekea kuna mahali walisaini huko kuzimu kwamba wapite kutawala sasa...
Mkubwa una point hapo umenena.
Na ninachojiuliza inakuwaje tuna kuwa na msemaji Kimhindi cha bombey?? Huyo Rostam anatakiwa ajui mwisho wa uovu wake umefika na kama JK hata liona hili ni kwamba anataka hapa pageuke sudan na wasidhani tutawaacha hata kama watatoroka nchi.
Wametuibia vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.