Wakuu kama wiki imepita nilikuja dawa za Malaria inaitwa Ekelfin na ikanisababishia kiuvimbe kwenye uume upande wa kushoto na tako ya kushoto pia, nasema hivi maana ni mara ya pili nakunywa hii dawa na inaleta matokeo haya haya!!
Lakini safari hii uvimbe ulikuwa na muwasho sana na kupelekea...
Wadau nafikiri wengi tinaifahamu hadithi ya kuhusu Ayubu na yanayoitwa majaribu!!
Katika hicho kitabu (Ayoub 1; 7) Mungu anamuuliza shetani "umetoka wapi?" Shetani anajibu "nimetoka duniani katika kutembea huku na huko"(bado sijajua mahali walipokutana), Hawa wawili wanaendelea kubadilishana...
Yaan huu ndo ukweli ulio uchi..yan kama mimi nimeteseka sana na mapenzi wakati sina kitu...saiz wao ndo wanapanga msururu wengine wanarudi wanalia...
Kwa hiyo pesa ndo kila kitu, vaa vizuri..ishi sehemu nzuri..nunua gari yani huna haja ya kitongoza..kila mwanamke atakuona jembe!!
Enzi zile nasoma shule ya msingi kulikuwa na vijana waliokuwa wakija shule kwa ajili ya mazingombwe. Walikuwa wakifika shuleni mara kwa mara kwa ajili ya maonyesho hayo.
Walikuwa wakipewa kibali na mwl mkuu/mwl wa michezo pamoja na kupewa darasa la kufanyia mazingambwe yao kama ukumbi. Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.