Cabinet minister Najib Balala and nominated MP Amina Abdalla on Friday reacted to a United Nations report naming them among Kenyans whose donations had been funnelled to the Somali terrorist group Al Shabab.
Mr Balala denied knowingly funding the activities of the terrorist group but...
TAARIFA...!
yule dada au darasa zima la madrassa? Faizafoxy ni ID ya genge fulani...ndiyo maana kama ukichunguza utaona hakuna consistency katika utoaji hoja wake...! kuna siku unaona kama akili yake imepata akili kidogo..akajenga hoja zenye urojo mzito kidogo... mara kuna siku kimombo...
MWANASIASA mkongwe nchini, Idd Simba, amekitabiria kifo Chama cha Mapinduzi (CCM) endapo hakitachukua hatua za haraka kudhibiti makundi yaliyo ndani yake ambayo mengi yanatokana na baadhi wanachama kuanza mapema mbio za kukimbilia Ikulu wakitaka urais.
Idd Simba, mwenyekiti wa baraza la...
leo nimecheka sana....kwenye kipindi cha redio asubuhi ,Zembwela alikuwa anasoma message za wasilikilizaji...mdau mmoja aliandika hivi...... kweli ufisadi umetumaliza..ni bora huyu anayetuongoza angetangualia mbele ya ..... ! zembwela akaipotezea huku mtangazaji mwenzake akiwa anachekacheka! Ni...
wala usitutoe kwenye hoja ukatupeleka kwenye mambo yenu ya udini! unamkumbuka ustaadhi ayeumbuka na chuo chake cha ccm cha kiislam morogoro just a few hours ago? baki kwenye mada ...uchafu mwingine peleka kwenye jukwaa la dini!
nadhani ulimsikiliza vizuri yule mzee kwenye mdahalo!! Kama bwana yenu Kikwete ni mtu wa 'good morning sir'... tutategemea nini kwa nyinyi watwana wake!! bwana wenu anaona kuwa na foleni ndefu na ku own blackberry ni maendeleo ..tutategemea mtazamo gani kwa nyinyi watwana wake....! funguka...
nimeipenda sana hii makala.... ahaha naona JK kwa hilo anaonekana ana ka u small thinker kidogo....maana kwenye metamorphosis kuna kujivua gamba vilevile..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.