Search results

  1. M

    Hi tumfanyeje huyu kikwete na wenzake, sisi kama wanchi?

    Jamani ndugu zangu watanzania, naomba sisi wenyewe tuamue, tutoa maamu ya msingi ya namna ya kumfanya huyu raisi kikwete aliyetufikisha hapa tulipo, nyie kama watanzania mnaoona athali za mambo yanayotokea na kuumia na hali ya maisha mnadhani tumfanyeje?
  2. M

    Katibu Mkuu wa CCM Hayupo nchi!!

    hatutaki cha makamba wala nani kutoka huko CCM sisi tunachotaka ni mambo yanayowagusa wananchi hasa sisi wa chini yafanyiwe kazi, kwanza mi nafikiri kikwete ajiuzuru tu, kwani hata aje nani hatuwasikilizi. CCM mda wenu umeisha muwaachie na chadema waonyeshe mambo yao.
Back
Top Bottom