Jamani ndugu zangu watanzania, naomba sisi wenyewe tuamue, tutoa maamu ya msingi ya namna ya kumfanya huyu raisi kikwete aliyetufikisha hapa tulipo, nyie kama watanzania mnaoona athali za mambo yanayotokea na kuumia na hali ya maisha mnadhani tumfanyeje?
hatutaki cha makamba wala nani kutoka huko CCM sisi tunachotaka ni mambo yanayowagusa wananchi hasa sisi wa chini yafanyiwe kazi, kwanza mi nafikiri kikwete ajiuzuru tu, kwani hata aje nani hatuwasikilizi. CCM mda wenu umeisha muwaachie na chadema waonyeshe mambo yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.