wasomi ,wasomi,someni ili taifa liendeleeeeeeeeee,kila mtu ananjia zake za kutafuta kipato
ukishikilia la mwenzako,utakufa njaa!
tuwe wabunifu jamani,tuachane na kibonde.:clap2:
:first: ,kama hujui kombe tunalo,kuhusu swala hilo,ila kwa wale ambao hawajajaliwa mambo fulani<wanatumia mchina,
sio fresh,ila ni kitu kinacho nishangaza sana kuona,wanawake hawajipendi wajionapo hawana makalio!
yaaaaaani ndugu yangu upo sawa kabisa,sisi ni wamoja,na ukiona mtu anaanza kujitenga na kusema mm ni hivi huyu ni vile,hatufiki hata siku moja,ila kikubwa,tusibabaishwe na chochote,wanaanzisha jipya ili lakale lenye msingi tulisahau,jamani;dowansi,richi mondi,mauwaji ndan ya jiji la...
Da simchezo ,kama vina unajua.
Hata ndege huyo,juwezi kumkosa
Kwa stahili hiyo,male wote tukajifunze ushairi
Ili ndege akijilengesha,tuweze kumtungua,na nyimbo zote atuimbie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.