Kama kwa mtazamo wake anaona ni muafaka kupumzika bila shaka yuko sahihi ukizingatia umri nao unamtupa mkono na ni muendelezo wa utamaduni mzuri kwa wanamichezo kuachia ngazi pale ambapo umetumikia timu kwa muda bila mafanikio. Sababu zingine alizotoa zilizompelekea kufikia huo uamuzi zinatia...
Hizo lawama tu! Tanzania kuna tatizo la uhaba mkubwa wa watangaza mpira wenye ubora unaokidhi mabadiliko ya utangazaji duniani. Kwenye uchambuzi wa mpira pia kuna tatizo kama hilo. Hao unaowaona ndo wamejitokeza na azam imewachukua. Kama kuna unayemjua anatangaza na kuchambua mpira kisasa kwa...
Wanaotaka elimu kwa gharama nafuu wapeleke watoto wao shule za serikali na wasiotaka elimu kwa gharama nafuu wapeleke watoto wao shule za binafsi.
Isitoshe hizo hizo shule binafsi zinatofautiana gharama na uamuzi wa kuchagua ni wako kulingana na mfuko wako.
Haki ya wananchi haimaanishi wasioweza kugharamia elimu za wanao shule binafsi tu bali hata wanaoweza. Kama we ni mwanachi usiyeweza gharama ya shule binafsi na unaona ni vyema serikali iingilie kati kukupa nafuu bila kujali huo ubora utapungua ama kubaki vilevile pia ni vyema ukatambua kuwa...
Kila kabila lina wema na waovu. Kama u mwema na hupendi uovu huwezi tetea waovu na uovu wao kwa sababu tu wao ni sehemu ya kabila lako. Acheni waovu wasemwe uovu wao kwa wakati huu na wema watasifiwa wema wao wakati mwingine. Majivuno ya kujipa mamlaka ya kutetea kabila zima wakati wa kuwasema...
1153513660040 Standard account
------------------------------------------
[25/25]
0810 Santa Cruz:Vila Nova
Final Score 1 1.42
0811 Oeste:Portuguesa
Final Score 1 1.83
1100...
Nafasi ya kufuzu hatua ya makundi kuelekea hatua ya mtoano bado ipo kama ilivyodhaniwa ipo kabla ya hii mechi iwapo tutashinda mechi dhidi ya ivory coast na dhidi ya gambia halafu morocco aishide gambia ili awe na matumaini ya kufuvu kwa kutuombea njaa dhidi ya gambia. Hiyo itawafanya morocco...
Mipango yetu yote ilivurugwa na kadi nyekundu. Haikuwa rahisi tena kufikiria kuwakabili vyema na kuwashinda waarabu kwao huku tukiwa pungufu tayari. Nawapongeza starz kwa jinsi walivyojitahidi kukabiliana na waarabu huku wakiwa pungufu. Licha ya juhudi zote za kutulia kipindi cha pili bado pengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.