Wakati ametoka Zanzibar akaja kuwa Makamu Mwenyekiti wa bunge Maalumu la Katiba mpya anadhani alikuwa anaongoza kikao Cha Upatanishi kwenye familia yake?
Na Jerome Mmassy,Arusha
Mwandishi wa vitabu maarufu Jim Rohn alisema kuwa “Wewe ni wastani wa watu watano unaokaa nao muda mwingi”.- Alisisitiza kuwa Kama unataka kufanikiwa hakikisha unatumia muda mwingi kukaa na watu ambao watakuwa na msaada kwenye mafanikio yako.
Katika Maisha ya kawaida...
Na Jerome Mmassy,Arusha
Ulishaona unampatia mtoto kitu anachokihitaji ama alichokuomba na asiseme asante?Ulishaona mtoto ama mtu mzima ana kukosea na haoni tatizo wala hajishugulishi kuomba msamaha?.Katika jamii tunamoishi hujawahi kuona mtu anakukosea na ukimweleza anakwambia basi yaishe...
Na Jerome Mmassy, Arusha
Moja ya changamoto jamii inayokumbana nayo nyakati hizi katika malezi na makuzi ya watoto ni watoto kuwa wakorofi na wasiotii kile wanachoambiwa.Na pengine wazazi ama walezi wamekuwa wakitamani sana watoto wao wawe kama wao walivyokuwa miaka ya 1970/1980.
Ni vyema...
Nimepitia sana ukosoaji wako sioni hoja ya msingi.Huwa nakubali sana objective criticism.....Sasa kuniambia umeshawahi kukutana na mkurugenzi wa sijui nini nayo sio hoja kwangu,unefuga sijui broiler,Sasso n.k nayo bado sio hoja........Ni kweli kwamba kitabu chetu kina sura nyingi na moja ya sura...
Hey,ufugaji kuku hauna uhusiano wowote na stori za vijiweni.Ni biashara serious kabisa tena yenye kuhitaji umakini wa kiwango cha lami.Huwa nipo busy sana kuwahudumia na kuwajali wateja ambao wako serious na wenye nia ya kuanzisha ufugaji.Nyie wa michongo hayo ndio majibu yanayowastahili.Hizo...
Endelea kusubiria wenzako watoboe mwamba wazame halafu wakishapata huo mwamba wa dhahabu waje wakushtue.Nadhani ndio maana ukachagua jina hilo pia.Ha haaaaa
Watu wengine tulizaluwa na chapa ya "Marufuku kukata tamaa" Tunachofanya ni kujaribu kuweka maarifa na elimu ama ujuzi tulioupata katika ufugaji ili angalau watoto na wajukuu wako waje wapitie na kupata uelewa sababu hiki kizazi cha nyoka hakiamini chochote.
Nashukuru umenisaidia kuwa vijana ni...
Hadi jana jioni tumemaliza kuuza wa kwetu zaidi ya 1200 na bado mahitaji ni makubwa.Huyo jamaa yako unayemdalalia inawezekana wewe ndie ulimdalalia pia vifaranga ukapiga cha juu kwa kumdanganya soko liko nje nje sasa unataka upumulie kwangu That is never possible......Lakini fact ni...
Wenzako tulishaianza kitambo na sasa tunaburudika.......ndio maana tunawaletea wanaotaka kuingia kanuni/sheria za kuingia kwenye ngoma yenyewe kabla baunsa hajawatoa nje ya ukumbi kwa kipigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.