km kweli mnataka mamlaka kamili ya zanziba igeni mfano mdogo wa mtwara....mna serikali, mna wabunge, mna wanaharakati, mna vijana, ingieni mtaani daini mamlaka yenu acheni kulalama hovyo kuna watanganyika hawajui maana na faida hawaioni ya muungano. kama hamtafanya hayo tulie tuwanyonye vizuri
Ni rahisi kuikosoa CCM kwa sababu ya misingi iliyowazi na kwa kanuni zilizoijenga CCM wakati wa kuanzishwa kwake ambayo ikikiukwa inakuwa rahisi kukosolewa…kwaiyo misingi iliyowazi, sera pamoja na itikadi sahihi inayoeleweka kwa wanachama huifanya chama kujipatia wanachama, wapenzi pamoja...
mara nyingi wabongo hatuko logic, ili rais asimame nani anamsimamisha? bila shaka chama chake...km JK hafai maana yke ccm haifaii. hao unaofikiria ni safi ndani chama kwa nini hawakusimama kupinga JK kupita? kama taifa tuna mambo muhimu ya kujadili mf. uzalendo ni nini? uzalendo unajitokezaje...
mara nyingi wabongo hatuko logic, ili rais asimame nani anamsimamisha? bila shaka chama chake...km JK hafai maana yke ccm haifaii. hao unaofikiria ni safi ndani chama kwa nini hawakusimama kupinga JK kupita? kama taifa tuna mambo muhimu ya kujadili mf. uzalendo ni nini? uzalendo unajitokezaje...
WANA JF NAPENDA TUJADILI MADA HUSIKA ILI NAMI NIPATE UELEWA ZAIDI.
Kila kukicha huwa haikosekani thread za udini kwa upeo wangu mdogo nafikiri tunachanganya mambo mawili 'misingi za dini na wale waliotuletea hizo dini'...wale waliotuletea dini wametimiza kazi yao ya kuhubiri misingi kuu ya...
Nimekuwa najiuliza nini maana ya nchi zilizoendelea, na nini maana ya nchi zinazoendelea? ni wapi hasa tunakosea, wapi tuelekeze nguvu zetu kufikia maendeleo ya kweli? wewe km great thinkers ukipewa hii nchi utafanya nini kama kipaombele ya kwanza kufikia maendeleo ya kweli?....
'Propaganda huwa zipo' lakini hili la hao mawaziri siyo propaganda. embu tukumbuke historia inatuambia nini,wakati uchaguzi mkuu 2000 ccm walileta propaganda km hizi dhidi ya cuf yafuatayo yalisemwa: cuf ni chama cha kidini, kigaidi(ikumbukwe Osama anawika) kama haitoshi siku chache kabla ya...
kiburi ya cdm ni siasa safi,uzalendo na maendeleo, ila ccm kiburi yao inatokana na jeuri ya kuwa na matawi mfu nchi nzima.pili kazi ya kuelimisha umma ni kazi endelevu isiyo na kikomo na niwajibu kikatiba wa vyama vya siasa, asasi za kiraia na serikali. freemason!!!!! usiliogope hili neno maana...
Dini ni ya mwenye dini, misikiti na mahakama za dini itajengwa na wenye dini! Na cvinginevyo wakati cc tunajadili mambo yacyo na maana wenzetu wako mwezini(outerspace) wengine wako hata hapa tz wanachota madini,wanatalii mbuga zetu booking wanafanyia kwao? DINI YA KWANZA NI NCHI YAKO, enyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.