Ukiwa haujui halafu unaconfidence kuwa unajua huwa inachekesha sana, nakumwelimisha mtu huyo ni ngumu sana, mwenyehekima unamwacha tu na elimu yake mbovu hakosi huko mbele akaumia maana hana namna nyingine ya kujifunza isipokuwa kuumia, uchungu huo utakuwa mwalimu tosha kuliko kuumpa elimu...
Nakuwa na uhakika kabisa nimesamehewa dhambi zangu nilizoungama, ndio maana natamka kwa kujiamini kabisa niliungama nikatimiza malipizi, na hamna sentensi inayonifariji kama, kwa mamlaka niliyopewa nami nakuondolea dhambi zako kwa jina la Baba, na la Mwana na la Roho Mtakatifu
Mimba ni ushahidi tu kuwa condom haikutumika, hayo mengine ni nadharia tu ya kuwa mwema ambayo ni wale wanojitia uadilifu uwakandamiza wenzao. Na huyo huyo unaweza ukakuta anafurahia mimba ya ng'ombe na kutamka maneno ya kashfa akiona mimba ya binadamu
We uwajui wanawake wa hivyo, mara mia ukope kwa watu baki usichukue hata shillingi moja kutoka kwa huyo mwanamke, hiyo utakayochukua kutoka kwake itazamisha hela yote, kwa sababu hela atakayotoa yeye itakuwa na maneno ya laana kama yote, ukiangalia kwa juju tu unaona bidii aliyokuwa nafanya ili...
Hapo kwenye fedha wanakufundisha hasa kwenye suala la usiwe na fedha, yaani ikiwezekana uendeleze umaskini wa ukoo, na maneno ya ajabu kama fedha haioti kwenye miti, wakati ukweli fedha ni karatasi na karatasi inatokana na miti, na maneno mengi ya kukufanya usiwaze wala usione ni fahari kuwa na...
Nilimsikia daktari mmoja akizungumzia swala hilo, yeye alisema suala la kuridhika linamuhusu mtuhumiwa mwenyewe, lazima naye afanye bidii ya kuweza kuridhika kama halidhiki na wewe umefanya sehemu yako ni tatizo lake lazima afanye bidii afikie kuridhika sio kumtwisha mtu mwingine mzigo wa yeye...
Hivi huku kwenye ushirikina kuna technology ya kusimamisha ujauzito usikue kwa kipindi unachotaka halafu baadae unauachia uendelee kukua na mtoto akazaliwa?
Ukiona uchi unabeba kalaana fulani kutoka kwa muhusika rejea watoto wa Nuhu baada ya kutoka kwenye safina, hamna njia rahisi kama ya kukutumia picha ya uchi ikiambatana na dua ya laana ya mtuma uchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.