Hizo Jezi zinatengenezwa kwa gharama kubwa sana, na ubora wa hali ya juu. Unaweza kuzivaa kwa muda mrefu bila kuonesha uchakavu. Ni pesa nyingi sana watu wamewekeza.
Hakuna jezi original ya klabu yoyote ya Ligi Kuu duniani utauziwa kwa elf 8. Jezi ya Mashujaa nimenunua juzi, ni elf 35.
Vitu...
Hii ni mbinu ya ku-ignore tatizo la msingi, na kufanya ionekane tatizo ni wanaume tu, kama vile wanaume ni watu ambao hawapaswi kuvurugwa, bila kuzingatia matendo ya mwanamke.
Mwanamke anazalishwa na mwanaume mwingine, kisha anakuja kudai mali za mwanaume wake wa zamani, mnaona ni sawa tu, as...
Hii ni video ya zamani, ya mwaka jana . . . . Haikuja baada ya kauli ya Lugola, naomba kumbukumbu iwekwe sawa. Kama hakuna taarifa yoyote zaidi ya hii, maana yake PAC na LAAC bado hawajatoa kauli yoyote
Hesabu unaijua, ila jamaa kakuvuruga mpaka umekosa confidence na unachokiamini (ambacho ni cha kweli pia)
Umemwambia aweke hesabu zake, hajaweka. Anasema anasubiri taarifa ya habari.
Yaan hata yeye hajui kitu chochote, ila ni mbishi wa kiwango cha Messi au Ronaldo. Siku hizi kuna wabishi wa...
Nashindwa kuamini kama uzi huu umeandikwa na MM.
- Hakuna sehemu yoyote ya katiba inayoipa Mahakama uwezo wa KUISIMAMIA Bunge kazi zake
- Umesema kwamba Mahakama ndio yenye madaraka yote kuhusu haki, ni kweli. Lakini sio haki za kuzuia kazi, tena za mhimili mwenza wa nchi. Mahakama haina uwezo...
Hata kujibu hoja za watu inakushinda, maana umelala tu kitandani halafu unadai eti KILICHONITOKEA LEO MWENGE?
Heheheheh . . . . . unaiba hadi post?? Kweli wewe mufilisi kabisa kimawazo
Kaibe zingine, zipo kibao nimeziweka
Acha wizi wa post za watu weweeee . . . . kujifanya tukio limekutokea wewe wakati hujui lolote, ume copy na ku paste
Yaani mpaka watu wanakuita we Mpeli . . . . wewe ni Mpeli wewe?
Unajitahidi sana mkuu kwa ku copy na kupesti . . . . . Hata huku nipo pia.
>> Huyu jamaa Bampami kakopi story yangu ktk facebook kaileta huku ili impatie maujiko daaah
>> Daah . . . Eti nilichokifanya Mwenge jana . . . . Kawanunua kweli wadau
>> Soma orijinal story ujionee . . . . kakopi hadi...
Hii imefanyiwa utafiti huko nchi za wenzetu lakin naona inatugusa hata sisi.
Inasemekana kwamba wanaume waliooa wanawake wenye mishahara mikubwa au vyeo kuwazidi wao, huathirika kisaikolojia wakati wa tendo la ndoa na wengi wao hutoka nje ya ndoa. Utafiti umebaini...
Kuna mdada hapa ananiambia . . . . .
"Sio kila relationship watu lazima waoane, nyingine ni tuition tu mtu unajifunza. Anasema tuition kwenye kusoma humfanya mtu afanye vizuri darasani na ktk mitihani, wakati ktk mapenzi anakuwa amepata uzoefu zaidi na kukomaa zaidi kuweza kumudu ndoa"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.