SMILE , Sikiliiiiiza rafiki kuwa kama mimi kabla ya yote unatakiwa ujue mchumba mtarajiwa anatabia zipi? Kati yazileeee alizo semaga EIYER nadhani ziko kumi na kidogo hivi sasa unatakiwa ujumlishe na za kwako then cheki jibu kama lina oana au lina talakiana. KARIBU TENAAAA
Kwakua mie ni mkali nadhani naweza kuolewa na na na na a a a a a!!!!! Nimekumbuka huyo wa (11) hebu EIYER piga hesabu ya faster faster yaaaani MKALI a.k.a. muonja kilaji + mkorofi,mlevi =..........................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.