Apo umenena Gaga. Wenye vibututu amna hashki, mizuka yenu aipandi. Nyiye ndiye wa kwanza kulalamika. Unaniumiza, nimechoka Nk
Wenye ndefu, ndio kwanza wanataka kitu kisitoke milele.
Hiyo habari nami niliisikia kipinde hicho nikiwa Dodoma. Kwa kweli vyombo vya habari avikuwa vingi hususani magazeti. Tupo pamoja katika kupigania katiba mpya. Tuondokane na huu ukungu tulionao
Naombeni ushauri. Napata kichefu chefu nikiona mbolea hata ya kuku kama siyo ya binadamu. Ila ya mpenzi wangu hata kushika ainipi tabu. Je huu ni ugojwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.