Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini.
Hayo yameelezwa jana jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba, wakati...
Ukipenda shortcut lazima utapeliwe.Mimi tangu nitapeliwe pale DDC Kariakoo mwaka 1998 sijatapeliwa tena hadi leo😀
Ukiniambia sijui Almas nakuelekeza pa kwenda kuziuza.Nimemaliza
Mambo yamebadilika enzi za Mtukufu (the late CEO) haya yote alikuwa anafanya mwenyewe. Mawaziri walibaki kupiga makofi tu au kuzindua installation za tranforma tu😁
Kwani kipi kilianza;majimbo au maendeleo? N unaposema issue ya Ukabila inakujaje? Kwani tukisema Mwanza,Geita,Shinyanga liwe jimbo moja ndio itachochea ukabila? Kwani watu wa makabila mengine hawatoruhusiwa kufanya kazi?Kazi zitatolewa kwa kigezo cha ukabila? Shule zitafundishwa kwa kisukuma...
Imekuwa kawaida kwa kauli au maamuzi ya Mkuu wa Mkoa kuonekana kufeli miongoni mwa Watanzania...lakini ule uamuzi wa kuwazuuia Wachezaji waandamizi wa Taifa Stars Erasto Nyoni na Kevin Yondani kustaafu kuchezea timu ya Taifa anastahili kupongezwa.
Makonda aliona mbali au mwendelezo wa kauli au...
Ila kwenye Mpesa ndio tunaliwa zaidi yaani inakatwa kotekote...mtumaji unakatwa na unaemtumia unakatwa.
Yaani kama una 20,000 ukimtumia mtu lazima 3000 waikombe wao.
Hapo 1000 utakatwa mtumaji na 2000 akienda kutoa
Hayo mambo mengine muwe mnawaulize wabunge wenu....wao ndio huwa wanaitikia NDIYO pale mjengoni,sasa Waziri afanyeje kama Wabunge wanazipitisha hizo sheria? Ni utekelezaji tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.