Wadau katika kutaka kujikomboa kimaisha nimeona Alibaba.com kununua mzigo na kusafirisha hadi BONGO siyo gharama kubwa ,issue ikabaki kwangu je wazee wa Kaisari -TRA hapo ndio kikwazo mara nyingi.Kwa maelezo hayo naomebi wabobezi wa biashara kutoka CHINA na ambao wana shop at ALIBABA.COM...
Ni wazi spika Ndugai amekuwa adui wa wananchi kwa kutozimgatia maslahi ya umma na utawala bora na kuwa mpiga mihuri ya serikali. Mambo mengi ya ovyo ameshindwa kusimamia kama hoja ya 1.5 trioni, hoja ya Lugumi serikali pamoja na akina Kangi ni Sarakasi tu serikali inafanya hasa ukizingatia terms...
Taarifa ya msomi,wakili,Gavana wa benki Kuu juu ya operation ya kudhibiti maduka ya fedha za kigeni kwa kutumia jeshi imeacha maswali mengi na madhara makubwa kwa uchumi wetu.Hata IDD Amin alianza hivi kidogokidogo akawa anakibalika na vikundi vya watu wachache wenye maslahi.
Taarifa ya BOT ya...
Sheria hii ni wizi na ujambazi wa Serikali dhidi ya watumishi.Kimsingi mafao ni malimbikizo ya michango mtumishi na mwajiri,kwa ufupi ni matokeo ya mishahara ya mtumishi.Kanuni ya kutoa 25% ya mafao kwa mkupuo na 75% serikali kubaki nazo kwa sababu nyepesi kama matumizi mabaya ya wastaafu ni...
do hivi TBC siyo local channel?. mbona wanalazimiisha kila provider kuomyesha.watu tumekuwa watumwa kwa kutazama channel za nchi nyingine.Zeeworld ya series za kiswahili ni balaa pia kuna movie channel kama trybe,ROK,epic nk. bila kusahau KTN,citizens,k24.
Wadau nataka kuanzisha maabara ya kupima magonjwa huko bush, naomba kusaidiwa changamoto na faida katika hii biashara ya kutoa huduma kwa wananchi. Shukrani kwa msaada najua hapa JF hakuna lisilowezekana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.