Masharti ya gari hiyobiwe
1.Namba C au D
2.Isizidi Cc 1350
3.imetembea km chache chini ya laki mbili
4.Haijawahi kugongwa wala kupakwa rangi
5.Transfer fee na law procejures tunachangia
6.Natoa offer ya million 5 ipo hata leo....
7.Kama sharti moja au mawili yapo tofauti nijulishe...
Kama uchanguzi wa Tanzania ukijafanywa kama ule wa Kenya ulivyoendeshwa, UKAWA watakuja lia sana.
Na ushindi wa JUBILEE kwa mbinu hizohizo zilizotumika, zitatumika kuiwezesha CCM kuendelea kubaki madarakani. Hii ni faida kubwa kwa CCM na ni hasara kwa UKAWA wanaoshabikia pasipotafakari ya kina...
Now we hsve a serious and commited president I am sure the discussion will be more fruitfull than ever just hope for that.
Sent using Jamii Forums mobile app
KANU ndicho chama kongwe na ni supporter wa JUBILEE, Uhuru ni kijana wa Kenyatta Rais wa kwanza wa Kenya na kumbuka Kiongozi wa KANU ni kijana wa Moi aliyekuwa rais wa pili wa Kenya. UKAWA kuisupport KANU ni sawa na kukubali vyama kongwe kuendelea kurithishana state house, kwa hiyo nawaomba...
UKAWA hawajitambui maana hapa wameunga mkono vyama tawala(kongwe) kuendelea kuhodhi madarakani. Basi waendelee kupiga debe maana CCM nayo itskuwa ngumu kuitoa madarakani. Wangeunga mkono wapinzani lakini kwa kutapatapa kwso wameunga mkono chama tawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani CHADEMA uelewa wenu yani mnavyomshabikia kama vile ni mwana siasa mashuhuri sana. Kweli chama kikikosa sera ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo kihekima ACT wanaizi CHADEMA maana ACT huunga mkono masuala nyeti yenye tija kwa nchi ila CHADEMA liwe na tija lisiwe na tija mkakati wao ni kupinga kila kitu. Pale ni fujo mbele hekima basdae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mashaka na akili yako. Ni kweli safari ya nape kisiasa ameiharibu na kama 2020 ataukosa ubunge atakuwa ameisha kisiasa. Mimi pia sipendi kelele zake kwa tweet zake kwani zimeonysha udhaifu na uchanga mkubwa sana kisiasa.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.