Hata ikifufuka haisadii chochote walikushusha ukiwa asilimia 99% ilibaki moja kutimia 100.Walikushusha aslimia 97 umebaki na 3 kati ya 99% halafu kaondoka eti uanze tena kwenye asilimia 3 wenzako wapo kwenye asilimia 99 wamebakiza moja kutimia 100%.Ndo unachotaka wafanye Bongo Records watafeli.
Habari members!!
Katika sakata la harmonize kuachana na Meneja wake Mr.Puaz ndo limeshika habari hapa Tanzania uku Harmonize tunayemjadili yupo Nigeria leo katika jiji la Lagos katika harakati zake za kutoa show nchini humo.
Yote na yote tumtakie kazi njema kijana huyo Harmonize katika...
Habari JF members.
Kichwa cha habari kama kinavyosema
Watu bora kwa MWAKA 2018 na wenye mafanikio makubwa kwa MWAKA 2018.
Mr.Lovebite kipenzi cha walimbende I am lavalava amesema kwake "namba moja MWAKA huu ni Mama yake mzazi ni bora zaidi,Familia yake,Uongozi wake wa WCB...
Kichwa cha habari kama kinavyosema hapo juu.
Zifuatazo ni list za wasanii 10 barani afrika ambapo wameweka record za ngoma zao kutazamwa sana katika mtandao wa YOU TUBE kwa MWAKA 2018.
1.P-Square- 676M+
2.Davido-649M
3.Diamond Platnumz-516M+
4.Mr.Flavor-434M+
5.TeknoMile-369M+
6.YemiAlade-290M+...
Habari wakuu!!
Lile sakata la Diamond Platinumz na Rayvanny na Tamasha lao lilofungiwa hatimaye BASATA wamewaruhusu nchini Kenya na Comoro.
Ambapo rufaa yao itajadiliwa February mwakani 2019.
Katika Ratiba yake Diamond na Tamasha lake la Wasafi Festival tarehe 24 desemba 2018 wako Kenya uko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.