mimi naona kubishana na hawa watu nikupoteza muda 2.ccm wajaribu kuja na hoja ya maana.kilasiku chadema wanakuja na hoja mpya wao wamebakia na mshahara wa DRr Slaa.
nasubiria kuona uwo moto utaowaka, kwenye bunge lijalo cz lazima serikali ya ccm,watakuja na agenda ya kuongeza kodi,kuficha hii aibu. patakuwa hapatoshi
hii serikali yetu bana,walisema kina cha maji kimepungua.sasa ivi mvua zinanyesha wanasema gesi ni hadimu.nachojiuliza wakati wanaanza uwo mradi wa gesi,awakufanya tafiti kujua ni kiasi gani cha gesi kinachopatikana?
Originally Posted by GeniusBrain
Fuatilia vyombo vya habari utaujua ukweli, huwa sibabaishi mkuu kwenye mambo yangu ni kweli GB
mimi si kulaumu,tatizo ulikurupuka.
vijana watafanya nini wakati serikali awna police nzuri za kuwawezesha?wengi wa watanzania ni maskini,elimu ni duni,ajira hakuna,umeme ndo huo mgao,miundo mbinu ni mibovu kiasi ambacho mtu akilima,mazao yanaozea mashambani,inflation ni kubwa. wanasema kilimo kwanza wakati viongozi wanakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.