Ndio. Kuna sadaka lakini sio sadaka ya pesa. Mungu alipokea sadaka ya kuteketeza. Ilikuwa hivo hata kabla shetani hajaasi. Baada ya shetani kuasi, alianza kuendesha mambo yake mengi kwa mfanano wa Mungu. Hata katika suala la sadaka. Nae akaanza kuchua sadaka za kuteketeza, sadaka ya Damu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.