Hivi kumbe aina hii ya utapeli bado ipo?!. Watu wamelizwa sana miaka ya nyuma. Halafu mbaya zaidi bidhaa zinazotumwa kama zawadi ni zile zile. Iphone, laptop, camera na pesa.
Eee, nyuki wa porini unaokuta wamejikusanya tu kwenye gome la mti hovyo kienyeji, asali yao ni tamu kuzidi ya wanaofugwa kwenye mizinga. Chukua hiyo pia😊
Chukua hiyo mtu wangu,
Usikione kidada cheusi tii kinapita ukakidharau. Hicho ndo kimebeba asali mbichi huko chini. Ile yenyewe kabisa ya nyuki wa kienyeji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.