hiki nikipindi cha soko huria badala ya kuzuia kununua makaa ya mawe South ningefikiri njia nzuri ni kuyaongezea kodi hata mara tatu . kama tunavyo fanya kwenye bithaa nyingine na hapo tunge pata hela nying zaidi
wewe ndo hujui uchumi na si Raisi wako . alicho fanya ni sahihi kabisa ile competition ya mabank iwe sawa. na si bank moja iwe na hela zabure wakati nyingine zinateseka kua na hela. wacha mabenk yote yakope kwausawa .
I meandikwa kwenye bibilia mwanaume anatakiwa akae na mke wake kwa kutumia akilinyingi sana .
pia inawezekana wengine tunawalaumu bilasababu
mwanaume kabla ya kuoa anakua hana majukumu mengi maranyingi na anaweza kua na uwezo wakuwasaidia nduguzake wengi , lakini akisha oa majukumu...
Binadamu waajabu sana hata ufanye nini haachi kuongea ama kulalamika
mitaa ikiwa michafu tunalalamika tukifanya usafi tunalalamika
hayo nimatokeo na nichangamoto ambayo inatakiwa kufanyiwa kazi
mbona swali lililojibiwa si linalozungumzwa ?
alichosema waziri nimitambo ya kuchakata gas ambayo ipo mtwara na sii hi yakutengeneza umeme walio isema hapa
kuna mtu ana sema eti wataingiza hela chafu
kwani hela ikitoka nje ikaingia inakua monitor na BOT ?
kama wasipo ona uhalali wake wasikubali
kilakitu nichao lakini bado wanaendeleza ujinga wakulalamika
Nimejufunza kitu kikubwasana kutoka kwa huyu mzee .
hata wenyewe wana kiri kua huyu mzee nimzee wamipango kuliko kuongea
Na ndio kiongozi mkubwa wanchi ana takiwa awe
Ukiwa ccm akilizakawaida unaziweka pembeni .
hivi alifikiri Tanzania nisawa na mkoa wa Dar ? labda kama hauijui hii Tanznaia huwezi zunguka mikoa yote kwagari huku una tumia nguvu nyingi kwenye kuhutubia ningumu sana
labda alifikiri kote kuna lami ndo kaonja joto ya jiwe
na bado wata leta...
Tatizo watu wamekariiri kampeni nimajukwaanitu
wakiona kitu tofauti nimaigizo
zile alizosema magufuli atajenga barabara tano tano junachini ambazo kila mwaka tunaambia siomaigizo ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.