MyElimu ni social enteprise yenye lengo ya kusaidia wanafunzi wa sekondari waweze kusoma kwa urahisi ufasaha, na kutumia kile walichosoma kujiendeleza. MyElimu ilianza mwaka 2014 kama platform ya discussion kwa wanafunzi wa sekondari. Wanafunzi wanajadiliana na wenzao kupitia mtandao wa...
Point nzuri. Ili kuendana na matakwa ya authorities, kwa mwalimu atakayefundisha inabidi awe amesomea. Lakini MyElimu pia tuna platform ya wanafunzi kujadiliana ambayo tunafanya kazi na walimu pia. Hapo tunaweza kufanya kazi hata na ambaye hajasomea lakini anaweza kufundisha.
Nashukuru kwa kukumbusha. Tunahitaji walimu wa Kiswahili, English, Math, Biology, Physics Chemistry na Geography. Kwenye "kuendwa" sijaelewa, ila yes tunaajiri. Full time na part time.
Hello. Kuna nafasi za walimu kwa ajili ya kujiunga na shirika la MyElimu kufundisha masomo ya sekondari. Mwalimu awe na uwezo wa ufundisha masomo mawili, awe fluent kwenye kiingereza na mjuzi wa kutumia mitandao.
About MyElimu
MyElimu ni social enteprise yenye lengo ya kusaidia wanafunzi wa...
Hi all,
Thank you for the feedback you gave wakati project inaanza. Imekuwa and now tunazidi kuiboresha kadri siku zinavyozidi kwenda. Unaweza kuiangalia kupitia myelimu.com then ukatoa ushauri. Bado tunakaribisha mawazo.
Hi all,
Thank you for the feedback you gave wakati project inaanza. Imekuwa and now tunazidi kuiboresha kadri siku zinavyozidi kwenda. Unaweza kuiangalia kupitia myelimu.com then ukatoa ushauri. Bado tunakaribisha mawazo.
This list is irrelevant and has been critisized by various stakeholders in various countries. Wanasema baadhi ya shule kwenye list wanazijua na hazistahili kuwepo.
Samsung wameandaa party ya uzinduzi kwa ajili ya Samsung Galaxy Note 4. I thought it would be great to share. hope tutakutana pale :)
Events Name: Samsung Galaxy Note 4 launch Party in Dar
Description: Samsung Mobile Tanzania brings you an exciting night out for Dar es salaams Elite- The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.