Search results

  1. U

    Ukisikia Pinda ni mnafiki ona sasa haya

    Teeeh Teeeeeh Teeeeeeeeh!!! Kaaazi kweli kweli. Eeeh na huyo Nape anagonga M10,20,na 30 kutoka wapi?
  2. U

    Je bunge linaweza kulazimisha kujiuzulu kwa Luhanjo?

    Muswada wa sheria ya mapitio ya Katiba ulikuwa na maudhui ya kuundwa tume ya kukusanya maoni ya wananchi katika kuelekea kupata Katiba Mpya. Kwa hiyo bado fursa ipo kwa wananchi kujadili masuala mbalimbali likiwemo hili na mihimili ya dola pindi tume itakapoanza kazi ya kukusanya maoni.
  3. U

    Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

    Jamani hivi kwanini mnapenda kusema uongo? Kwamba Redio Mwangaza FM. ndio chanzo cha habari hii si kweli kabisa.Mimi hapa nilipo nasikiliza redio hii kuanzia saa 2.00 na hakuna kitu cha namna hiyo.Haipendezi kwa watu wazima kuwa waongo jamani. Kama kuna source nyingine,sawa,lakini sio Redio...
  4. U

    Tamko la kamati kuu ya CHADEMA kuhusu mchakato wa katiba

    Mdau nakushukuru,nimekisoma hicho kipengele na kukielewa vema.Na kwangu nadhani hoja kubwa iko hapa,nanukuu"5. Kamati Kuu inaamini kuwa pamoja na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kupitishwa, bado kuna fursa za kisiasa na kijamii katika kujenga mwafaka wa kitaifa juu ya haja, nia, mchakato na...
  5. U

    Tamko la kamati kuu ya CHADEMA kuhusu mchakato wa katiba

    Mbona katika tamko hili sioni kipengere cha kuunda kamati teule ya kuonana na Mh.Rais Kikwete? Au hiyo kamati teule ya kamati kuu ya CDM ndio inatarajia kuyapeleka haya maazimio kwa JK? Na kama ndivyo,je tutarajie nini wakati moja ya maazimio ya kamati kuu linazungumizia udikteta wa CCM na...
  6. U

    Wabunge CHADEMA wamedanganyika?

    Mdau mimi binafsi napenda nikupongeze kwa uchambuzi makini juu ya tafrani hii iliyojitokeza. Kimsingi nakubaliana na hoja zote katika makala yako.Ni hoja zinazojielekeza kwenye uhalisia wa mambo na wala sio ushabiki ndani yake.Sasa, najua sio lazima kila mtu atakuunga mkono maana ni hulka ya...
  7. U

    Wabunge CHADEMA wamedanganyika?

    Mdau mimi binafsi napenda nikupongeze kwa uchambuzi makini juu ya tafrani hii iliyojitokeza. Kimsingi nakubaliana na hoja zote katika makala yako.Ni hoja zinazojielekeza kwenye uhalisia wa mambo na wala sio ushabiki ndani yake.Sasa, najua sio lazima kila mtu atakuunga mkono maana ni hulka ya...
  8. U

    Haya ni mabaya ya SITTA, niwekee mazuri yake

    Teeeeh teeeeeeeh teeeeeeeeeeeeh! yaani lakini jamani watu humu jamvini mna mambo! Nimecheka sina mbavu maana mie nilishamwona live akitembea!
  9. U

    Upo umuhimu wa urais 2015 kumpa mwanamke kupunguza mwendo kasi huu..

    Mawazo mgando kama haya hayana nafasi na yanapaswa kupigwa vita na watu makini kwa nguvu zote.
  10. U

    Membe be careful, adui yako wa kweli humjui!

    Mmmh haya mambo mazito sana na wala hayapaswi kupuuzwa hata kidogo.Mungu ibariki Tanzania!
  11. U

    Matokeo ya Uchaguzi Igunga: Radio One

    Kwa utaratibu wa zoezi la kuhesabu kura, kimsingi wanachokifanya tume ya uchaguzi ni kutimiza wajibu tu kwa kuwa hawawezi kuja na matokeo tofauti na yale ambayo tayari vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi huo wanayo kupitia mawakala wao.
  12. U

    Notisi ya kuanzisha Mikoa na Wilaya

    Mie nilitegemea mdau utakuja na orodha ya wakuu wa mikoa wapya walioteuliwa maana tetesi zilizopo ni kwamba JK anatarajia kuwatangaza wateule hao wapya jioni ya leo!
  13. U

    Mikoa Mipya kuanza hivi karibuni

    Ni kweli mdau,katika hali ya kawaida unaweza usielewe kipi ni kipi katika swali ulilouliza. Kimsingi,uanziswhaji wa maeneo mpya za kiutawala una hatua zake kabla ya kuanza rasmi. Moja ya hatua muhimu ndio hii tunayoiona hapa. Kwanza kabisa wananchi wa huwa ndio wanaotoa mapendekezo kwa mamlaka...
  14. U

    Kutakuwa na faida gani kurudisha JKT?

    Kimsingi sina tatizo sana na hoja ya kurejesha mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria.Ni kweli kwamba ziko faida kadhaa za kupitia kwenye jeshi hilo kama wengi walivyoweza kubainisha. Hatahivyo, si sahihi kupuuza hoja za kuwepo kwa upungufu/udhaifu mkubwa sana katika uendeshaji wa mafunzo hayo.Na...
  15. U

    Lissu amlima barua Shibuda

    Nimeguswa na mtizamo wako mdau kuhusu Mh. Shibuda. Sishawishiki kuamini kwamba eti Mh.huyu alitumwa na CCM kwenda CDM kwenda kuvuruga.Na hii ni kutokana na ukweli unaojengwa katika historia ya harakati za kisiasa za comrade huyu. Kwa wenye kufuatilia kwa karibu siasa za hapa nchini hasa ndani ya...
  16. U

    Wabunge wazoa Sh 90mil kila mmoja kujinunulia Magari

    Ni vizuri tukakumbuka kwamba fedha hizi walizopewa sio ruzuku. Fedha hizi ni mikopo inayotolewa na mabenki kwa waheshimwa hawa kwa ajili ya ununuzi wa magazi kwa udhamini wa ofisi ua bunge. Kwa hiyo ni hiari kwa wabunge wa zamani na hata hawa wapya kuchukua au kutokuchukua fedha hizo kwani...
  17. U

    Lowassa au Mwandosya kuwa Rais wa Tanzania 2015?

    Hapana nadhani hapa umepoteza kumbukumbu. Ni kweli kwamba kuna wakati fulani wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi,aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini. Wakati huo JK alikuwa Naibu Waziri wa Wizara hiyo. Hata hivyo, inasemekana mh. huyu baada ya kuona mambo yanenda ndivyo...
  18. U

    Palipo na demokrasia nguvu ya umma haina nafasi

    Nakushukuru Mdau kwa kuliweka wazi hilo la uhusiano wa nguvu ya umma na tawala zenye kufuata utawala wa sheria na kuzingatia misingi ya haki za binadamu, Tanzania ikiwa mojawapo. Inashangaza sana unapoona kwamba hata wasomi wazuri tu, wengine ni wahadhili wa taasisi za elimu ya juu wanashindwa...
  19. U

    CHADEMA waongeza mbunge Arusha mjini

    Cha msingi hapa tuhakikishiwe kwamba mh. huyo ni kweli kabisa kwamba hakuripoti halmashauri nyingine yeyote na kwa maana hiyo basi hajawahi kushiriki kupiga kura katika chaguzi za viongozi wa halmashauri. Kinyume cha hapo basi tusubiri timwili lingine huko Arusha.
  20. U

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    Mdau, binafsi nakupongeza kwa kuliona hilo na kuona kwamba ipo haja ya kutoa angalizo kwa kile ulichokisikia kupitia redio hiyo inayomilikiwa na taasisi ya dini ya Kiislam. Kwangu mimi, cha msingi ninachokiona kwenye mada yako ni kuhusu uchochezi wa kidini unaofanywa na Redio hiyo na maafa...
Back
Top Bottom